Tupo pamoja mkuu!asante kwa kunijuza
Unaliwa na ni mtamu mno,jina lake ni Bibo,hata neno mabibo limetokana na tunda hili!Huo mshikio wa korosho unaliwa?
Ndiyo zenyewe mkuu!Sio korosho za N'twara hizo!?
Ni kweli kabisa mkuu!Hapo tunda Bibo, Korosho ni mbegu
Ni kweli kabisa mkuu,lakini likiwa halijaiva vizuri huwa na radha mbaya sana!Ni tamu sana likiiva vizuri nimelimiss@mzizimkavu tuambie ni dawa yanini?
hakuna ubishi hapo mkuu!bibo hilo au
bibo bana,siyo biboo,weye kabila gani mkuu?haswaa. Biboo
precisely mkuu!bibo hilo
tunda ni bibo na korosho ni mbegu,mkuu acha kupotosha!tunda hapo ni korosho, bibo ni kikonyo tu. Sasa sijui tamu ni nini, maana ni mbegu ya korosho ndio inaliwa na hicho kikonyo cha njano.
Kivipi mkuu,funguka zaidi mkuu!Ndugu yake Embe hiyo. Wote wanatoka kwenye familia moja.
Teh teh tehKuna matunda mawili habo sasa unataka tutaje lipi mkuu BIBO AU KOROSHO.
Teh teh teh!pole sana mkuu kwa kuwa umekulia kwenye mazingira ya kiuni!Ha ha ha.mzizi mkavu umenikumbusha jinsi tulivyokuwa tunachora tatoo kwa mafuta ya korosho utotoni.wababe tulikuwa tunasubiri mafala wakaibe kwenye mashamba ya watu then tuje kucheza kamari.ha ha haaa.
naam,hilo tundaa.na jina la tunda hilo
ni bibooo !!!.
hapo tunda bibo, korosho ni mbegu
Hiyo pombe lazima itakuwa sumu baridi!Hiyo bibo inatengenezewa pombe,nzuri kweli inaitwa uraka.
Hiyo bibo inatengenezewa pombe,nzuri kweli inaitwa uraka.
tunda ni bibo na korosho ni mbegu,mkuu acha kupotosha!
Kivipi mkuu,funguka zaidi mkuu!
wakuu mpo sahihi kabisa!