Hili tunda linaitwaje?

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,694
wakuu msaada,eti hili tunda linaitwaje kwa kiswahili na kiingereza?nilishawahi kulikuta mikoa ya nyanda za juu kusini,hasa kila eneo kukawa na jina lake tofauti,mwenye utaalamu naomba anisaidie nijue jina lake.
 
Hilo kiingereza ni peach na kiswahili kimetohoa 'pichi' kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili-English ya TUKI 2005
 
Linaitwa sekhe au isekhe
Nilota khwilya isekhe khokyalo au pamibekhe.
 
Fyulisi likiwa moja. Mafyulisi yakiwa mengi! Sijui ni kinyakyusa au Kiswahili? Mbeya ndio kwao hayo matunda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…