Hili swala linanikosesha raha

Hili swala linanikosesha raha

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,078
Reaction score
1,227
Habari wana jf , kuna hili suala la kuchelewa kukojoa kila ninapokutana na demu sijui chanzo chake nini kwakweli wengi huwa wananiuliza kwamba natumia dawa au nimekunywa alkasusu sijui nashindwa cha kuwajibu wengi wamekuwa wanashindwa kuendana na kasi yangu sijui nina tatizo gani mimi nachukua zaid ya saa mbili kukojoa gori la kwanza na hawawezi tena kuendelea round ya pili naombe msaada wenu tafadhari. Mkizingatia nina shoo this week Alf huyu mtoto nampenda sana nataka awe wife lkn nahofia kumpoteza kwa shughuri yangu pevu
 
Sababu zifuatazo huenda ndizo;

1: Ulitahili ukiwa mdogo na mkuyenge umekakamaa kama ngozi ya goti, unategemea hisia za mbunye utazihisi kirahisi?.

2: Hujatomasa unachanua!!! Yaani no romantic actions unafikiri mwili utapataje mhemuko na kujichaji?

3: Umesikia watu wakilalamika kuwahi kufika hivyo umeamua kujitangaza kuwa wewe unachelewa ili upate wateja! Kunajamaa aliwahi kusema hivyo kumbe anataka chance tu ya kugegeda, kilichotokea alihama mji.
 
Nini nifanye mkuu niwe kama wenzangu au kuna dawa zipo nielekeze mkuu nafedheheka kweli
Sababu zifuatazo huenda ndizo;

1: Ulitahili ukiwa mdogo na mkuyenge umekakamaa kama ngozi ya goti, unategemea hisia za mbunye utazihisi kirahisi?.

2: Hujatomasa unachanua!!! Yaani no romantic actions unafikiri mwili utapataje mhemuko na kujichaji?

3: Umesikia watu wakilalamika kuwahi kufika hivyo umeamua kujitangaza kuwa wewe unachelewa ili upate wateja! Kunajamaa aliwahi kusema hivyo kumbe anataka chance tu ya kugegeda, kilichotokea alihama mji.
 
Punguza stress
Ukiwa unasex weka akili kwenye sex,sio vile unasex akili inawaza wanaokudai

Mengine nitakwambia badae kidogo​
 
Sawa joanah nashukuru kwa ushauri wako ntaufanyia kazi
Punguza stress
Ukiwa unasex weka akili kwenye sex,sio vile unasex akili inawaza wanaokudai

Mengine nitakwambia badae kidogo​
 
Utakuwa unakula demu ili mradi tu. Ukimpata unayemkubali unaweza enda winga kabla hata hujapeleka[emoji23][emoji23]
 
Unatumia mihadarati au pombe kali?
 
Related image
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom