Hili suala linaniumiza na kunifikirisha sana

Hili suala linaniumiza na kunifikirisha sana

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,073
Reaction score
134,447
Hili swala linaniumiza sana.

Kwamba mimi ni raia wa nchi ambayo kiongozi wake anaweza kuua watu maelfu halafu hakuna chombo cha kumwajibisha

Kwamba mimi ni raia wa nchi ambayo kiongozi wake na wanaomzunguka kwa karibu wapo juu ya katiba

Kwamba nipo kwenye nchi ambayo wazee wake na wastaafu hawana kabisa uwezo wa kukemea lolote

Kama nchi ndio hii basi ni ukweli kwamba hizi historia tunazofindishwa kuhusu Julius Nyerere ni uongo mtupu. Huwezi kustahili sifa hizo ikiwa uliacha katiba na chama cha namna hii
 
Naunga mkono hoja mkuu habari za Nyerere zilikuwa za kiwaki tu yule jamaa ndio kachangia pakubwa sana hapa tulipo sisi watanganyika na huko alipo alaaaniwe sana yule mzee
Oscar Kambona alikuwa sahihi sana lakini akaishia kuitwa mhaini
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
 
Nyumbani mwenu kumevamiwa siafu, mnahama nyumba kuwaachia siafu?

Pambanieni pango lenu ili muishi kwa amani, la sivyo, waacheni siafu wafanye makao ya nyumba yenu

Mnaahindwa hata kuchoma moto?
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
Hauna akili watu wafanye misiba na maiti za ndugu zao hazipo wanazikwa kwa pamoja kule kondo
 
Unaipendea nchi ya nini.. hii mi mipaka tu iliyowekwa na wazungu achana nayo we jisikie uko duniani ni raia wa africa basi....na ukiweza basi tafuta nafasi uhamie mwingine dunia kubwa sana welcome to visiwa vya oceania
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
Wamekufa wawili, umefurahi sasa?
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
Mbona hawajibiki hata kwa hao wachache unaodai ndio wamekufa? By the way kifo hata cha mtu mmoja tu ni jambo zito sana.
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
Hapa ninapokaa walikufa watu wanne na ni ki-town kidogo sana(wewe unataka maelfu ya kazi gani?)

Ndio maana nikasema watanzania ni wapumbavu sijapata kuona.

Hivi taifa lenye watu wenye akili timamu mnaweza kukubali rasimali watu ipotee kipumbavu vile?(achana na hizi rasimali nyingine zinazouzwa bila mipangilio)

Taifa lenye watu wenye akili timamu mnaweza kukubali ku-parade wanajeshi namna hii mtaani?(kuna vita kwenye hii nchi?)

Tundulissu vs Uhaini(si dhuluma ya wazi hii)

Utekaji vs mamlaka(si upumbavu mwingine huu)

Kinachonichosha ni kwamba mtu akiwa na shibe hakumbuki mwenye njaa.Lakini siku itafika njaa itamtembelea kila mtu.Subirini tu
 
Check media za kimataifa zinavyomuandika
1765865908030.jpg
 
Mbona hawajibiki hata kwa hao wachache unaodai ndio wamekufa? By the way kifo hata cha mtu mmoja tu ni jambo zito sana.
Ni kweli lakini pia wapinzani kutumia vifo vya watz kufanya propaganda ili kujinufaisha kisiasa sio sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom