Hili suala linaniumiza na kunifikirisha sana

Hili suala linaniumiza na kunifikirisha sana

Ila nyie watu, kama kweli Mungu yupo na analipa kwa haki basi share yenu inawasubiri.
Nikweli mungu analipa kwa haki ndo maana hata nyinyi mtalipwa kwa uongo mnao ueneza maana mungu hapendi uongo.
Kosa moja haliwezi kuhalalisha kosa lingine ,suala la ccm kuuwa watu haliwezi kuhalalisha uongo wenu mbele ya Mungu,ccm itahukumiwa kwa mauaji yake na nyinyi mtahukumiwa kwa uongo wenu.
 
Mara moja moja jaribu kuwa na moyo wa kibinadamu ,Leo Kwa mwingine kesho kwako
Msio kuwa na mioyo ya kibinadamu ni nyinyi mnao tumia vifo vya watu kupushi agenda zenu za kisiasa.
Kitendo cha kuongeza idadi ya walio uawa ni dhihirisho tosha kuwa mlitaka wakfe wengi zaid ili mpate mtaji wa kisiasa.
 
Hili swala linaniumiza sana.

Kwamba mimi ni raia wa nchi ambayo kiongozi wake anaweza kuua watu maelfu halafu hakuna chombo cha kumwajibisha

Kwamba mimi ni raia wa nchi ambayo kiongozi wake na wanaomzunguka kwa karibu wapo juu ya katiba

Kwamba nipo kwenye nchi ambayo wazee wake na wastaafu hawana kabisa uwezo wa kukemea lolote

Kama nchi ndio hii basi ni ukweli kwamba hizi historia tunazofindishwa kuhusu Julius Nyerere ni uongo mtupu. Huwezi kustahili sifa hizo ikiwa uliacha katiba na chama cha namna hii
ni nchi ya malofa pekee ndio inaweza kuwachekea magaidi na maharamia huku wakichoma na kuharibu miundombini ya umma na na binafsi,

ni nchi ya malofa pekee inayoweza kuruhusu wananchi wake kukiuka sheria na kudai haki na uhuru wa kuleta fujo, kupora na kuchoma mali na miundombinu ya umma na binafsi.

There is no rooms for terrorists ni Tanzania and there is no escape roots for criminals :pulpTRAVOLTA:
 
Kwanini mzee
Mambo mengi ya hovyo yanafanyika nchini lakini kuna muda mtu anakuja na kauli za kusema ni sawa.

Imagine mtu anashangilia vifo vya raia wasiokuwa na hatia au anaona kilichofanyika ni sawa kisa ni pro Samia au pro CCM(huu ndio upumbavu unanichosha).

Mfano yule kiongozi wa kidini aliyesema watu watakatwa vichwa na yupo tu anakula upepo lakini mtu kama TAL anasota magerezani kwa kesi za uongo na kweli(huu si upumbavu man)
 
Mambo mengi ya hovyo yanafanyika nchini lakini kuna muda mtu anakuja na kauli za kusema ni sawa.

Imagine mtu anashangilia vifo vya raia wasiokuwa na hatia au anaona kilichofanyika ni sawa kisa ni pro Samia au pro CCM(huu ndio upumbavu unanichosha).

Mfano yule kiongozi wa kidini aliyesema watu watakatwa vichwa na yupo tu anakula upepo lakini mtu kama TAL anasota magerezani kwa kesi za uongo na kweli(huu si upumbavu man)


Sisi tuliwaambia vijana kuwa ikifika 29/10 msiandamane .

Kaeni ndani , Ila tukaitwa chawa
 
Hivi hao maelfu ya watu mnao sema wameuawa mbona misiba haikuoneka mitaani bali inaoneka mitandaoni?
Watu wali kufa lakini si kwa hayo maelfu mnayo sema japo kuwa hilo halimfanyi akwepe kuwajibika kwa vifo vilivyo tokea.
Muda huu ungekua umening'iniza iyo milonjo hewani Huku umewekewa ANTENNA na vyuma kwenye miguu na umewekewa catheter kwenye uume ukiuguza majeraha ya October 29 ndipo labda UNGE COME TO SENSE.

AU OCTOBER 29 UNGEPELEKWA MOCHWARI UGUGUMIE MAUMIVU UKIWA HAI...UKATOLEWA UKABAHATIKA KU SURVIVE UNGEKUA NA A TALE TO TELL..

NB. Kuna jamaa kaja hapa napo Fanya mishe mishe zangu kavalia armsling pouch mkono MWEUSII AISEE risasi ziache TU...nikajisemea siku ile October 29 ningesema niende bahari beach hope NISINGE rudii LABDA

October 29 ilikumba walio kuwemo na wasio kuwemo so sio jambo la kuletea mizaha au masiala kwa kua wewe Wala wanao kuhusu hawakuguswa..
 
Msio kuwa na mioyo ya kibinadamu ni nyinyi mnao tumia vifo vya watu kupushi agenda zenu za kisiasa.
Kitendo cha kuongeza idadi ya walio uawa ni dhihirisho tosha kuwa mlitaka wakfe wengi zaid ili mpate mtaji wa kisiasa.

Hiyo ndo ajenda yao kuu hawa washamba wa CHADEMA
 
Sisi tuliwaambia vijana kuwa ikifika 29/10 msiandamane .

Kaeni ndani , Ila tukaitwa chawa
Kila mtu aliyeona hatari aliweza kusema kabla ya hiyo siku hata mimi nilisema.Lakini nguvu iliyotumika ilikuwa sio sahihi man(Bila kujali raia walikuwa informed or not)
 
Kila mtu aliyeona hatari aliweza kusema kabla ya hiyo siku hata mimi nilisema.Lakini nguvu iliyotumika ilikuwa sio sahihi man(Bila kujali raia walikuwa informed or not)

Unajua , hawa Chadema na wanaharakati Kama akina Mange n.k

Ndo wanabidi kulaumiwa Sana
Walitumia Dark psychology

Wakaunda MTU anajiita Tesha , wakasema Jeshi litawalinda Gen Z watoke


Yaani ujinga Kama huu ukiingia Tiktok mpaka sasa wanasema 25 December jeshi litawalinda

The same story different date & seasons .

Ikiwa una thamini uhai wa VIJANA hauwezi kuhamasisha maandamano .

Kwakuwa mazingira yetu ya siasa hayaruhusu hilo swala.


Then walivyo vilaza wanakuambia CNN na UN watakuepo what *** !?

In short kuwapambania watu wajinga inachosha
 
Naunga mkono hoja mkuu habari za Nyerere zilikuwa za kiwaki tu yule jamaa ndio kachangia pakubwa sana hapa tulipo sisi watanganyika na huko alipo alaaaniwe sana yule mzee
Oscar Kambona alikuwa sahihi sana lakini akaishia kuitwa mhaini
Nyerere alitengeneza propaganda za kwamba ametuunganisha wakati kiuhalisia ilikuwa ni propaganda za kusiasa tu. Ukabila tanzania ni mkubwa kama zilivyo nchi zinazotuzunguka, udini unatutesa vibaya mno, Mbaya zaidi tumeongeza tatizo lingine ambalo ni utanganyika na uzanzibari Kilichopo saizi ni kujiliwaza tu kwamba hayo mambo hayapo, in deep hayo mambo ndio yanayotusumbua na ndio yanayofanya suala la HAKI lisitekelezeke katika nchi hii. Nyerere alijua hayo mambo ya ukabila, udini, uzanzibari na utanganyika yapo, ndo maana kila wakati aliyapigia kelele, hakuyapenda lakini alikosa mbinu za kuyaondoa hadi anakufa.
 
Back
Top Bottom