mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,499
- 18,166
Kwa mtu mwenye akili timamu waraka wa TEC Ulikuwa clear na ulieleweka kwa wote wenye Dini na wasio na dini .Na hakuna mahali waraka ule umemshambulia mtu kulingana na nafasi aliyoko. Sasa ninachokiona ni kama kuna mtu anaitumia hii kete ya udini ili kutafuta kitu kinaitwa SYMPATHY na ionekane kwamba kuna mtu anaonewa kutokana na "imani" yake ya kidini.
Hao wakujiita wanazuoni wanasema mbona waraka unaandikwa tu kwa upande fulani tu na sio upande fulani. Wanachoshindwa Kujua ,Swala la waraka wa TEC SIO LA KWANZA na halijawahi kumwangalia nani ni dini fulani.
Ninachoshukuru Raia wa zama hizi za robo karne sio wale wa zama za zidumu fikra za mwenyekiti. Watu wameona na kushuhudia kilichotokea.
Swala la kutumia udini kutafuta Huruma pasipo kuwajibika kwa yaliyotokea ni kama kutafuta HURUMA...na limeshafeli vibaya sana. Hao wanAzuoni ni kama mbuzi aliyepandishwa juu ya mti. Hii ni script tu .
Hao wakujiita wanazuoni wanasema mbona waraka unaandikwa tu kwa upande fulani tu na sio upande fulani. Wanachoshindwa Kujua ,Swala la waraka wa TEC SIO LA KWANZA na halijawahi kumwangalia nani ni dini fulani.
Ninachoshukuru Raia wa zama hizi za robo karne sio wale wa zama za zidumu fikra za mwenyekiti. Watu wameona na kushuhudia kilichotokea.
Swala la kutumia udini kutafuta Huruma pasipo kuwajibika kwa yaliyotokea ni kama kutafuta HURUMA...na limeshafeli vibaya sana. Hao wanAzuoni ni kama mbuzi aliyepandishwa juu ya mti. Hii ni script tu .