Hili ni tatizo kwa vijana wengi wa Kitanzania, nimesikitishwa sana. Serikali iangalie jambo hili

mkuu weka link ya huo Uzi na sisi tufurai
 
Apo kama walikwanguana kidogo hivyo bima hawata coter, halipwi chuchote, ili ulipwe kuna asilimia za kiwango cha ajali na thamani ya gari.ndo maana wameamua kulipana juu kwa juu
 
Apo kama walikwanguana kidogo hivyo bima hawata coter, halipwi chuchote, ili ulipwe kuna asilimia za kiwango cha ajali na thamani ya gari.ndo maana wameamua kulipana juu kwa juu
na kama uyo jamaa aliegongwa ana bima kubwa ni sahihi kumkomalia jamaa aliemgonga ampe kitu?
 
Haahaahaaa kiduku Lilo on the beat,
Nimecheka hapo et unaishije na mke na watoto kwa mshahara wa million mbili ? Aisee we jamaa umefanya nijitafakari sana sie wengine tunahangaikia mshahara wa 1k kwenye kampuni za wahindi na tunafamilia halafu unauliza unaishije anaelipwa milion?

Leteni chai wadau kuna kaubalidi flani nakahisi japo nitie tumbo joto

Nadanganya wadau
 
Nimesoma huu uzi nikafikia mahali mtoa mada anasema Mil 2 kwa mwezi mtu anaishije, kisha nikarudi juu kuangalia jina la mtoa mada nikakuta ni KIDUKU LILO, baada ya hapo nikarudi kumalizia kuusoma uzi wote.
 
Game Changer and The Entertainer.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…