charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,670
- 3,639
Habari za alasiri,
Kama nilivyoeleza hapo juu ,nimekuwa nikwashwa kila ninapomaliza kuoga. Muwasho huu huchukua takribani nusu saa ndipo nakuwa kawaida. Mwanzoni nilifikiri ni sabuni ninayotumia nikabadili na nimeshabadili sabuni za aina nne tofauti lakini bado nawashwa.
Nikijikuna hakuna alama yoyote inayotokea,
Naoga maji safi na muwasho unatokea kabla sijapaka mafuta/ losheni. Mwenye kuelewa tatizo hili anisaidie .
Sent using Jamii Forums mobile app
MAONI YALIYOTOLEWA NA MDAU
Kama nilivyoeleza hapo juu ,nimekuwa nikwashwa kila ninapomaliza kuoga. Muwasho huu huchukua takribani nusu saa ndipo nakuwa kawaida. Mwanzoni nilifikiri ni sabuni ninayotumia nikabadili na nimeshabadili sabuni za aina nne tofauti lakini bado nawashwa.
Nikijikuna hakuna alama yoyote inayotokea,
Naoga maji safi na muwasho unatokea kabla sijapaka mafuta/ losheni. Mwenye kuelewa tatizo hili anisaidie .
Sent using Jamii Forums mobile app
MAONI YALIYOTOLEWA NA MDAU
Yawezekana tatizo lako likawa ni aquagenic urticaria hii inatafasiriwa kwamba una allergy ya maji. Wataalamu wanasema tatizo hili halina tiba, lakini unaweza kulipunguza sana kwa kuoga maji ya moto au vuguvugu. Pia hakikisha unaoga kwa muda mfupi kadiri iwezekanavyo na jitahidi ukishamaliza tu kuoga hakikisha mwili umeufunika vizuri usipate upepo au baridi.
Pia ni vizuri ukanunua bathrobe. Na ikiwa adha ya muwasho itaongezeka tafuta strong anti allergies kama Loratidine ama nyingine kama hiyo.