Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,826
Hata mimi nipo kama wewe unaonaje tukikutana tukajadili hili tatizo linalotusibu? Pm plz nimatumaini yangu tunawezaondokana natatizo hili.
Kaka unakamata fulsa naona, twenzetu.
Hata mimi nipo kama wewe unaonaje tukikutana tukajadili hili tatizo linalotusibu? Pm plz nimatumaini yangu tunawezaondokana natatizo hili.
Atabaka mtu humu...kwani hii ndio mara ya kwanza kukaa nae mbali!!!!!!!!!
Two weeks na umeshakuwa hivo ikienda miezi utafanyaje!!!!!!!!!!!
Hilo ni pepo tena lipo kwenye mbunye, inabidi umwagiwe maji ya baraka huko huko.Hi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua ikinitokea kama wiki 1 sasa!
Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima!
Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo mbali na nimpendae je nifanyeje?
Atabaka mtu humu...
Hivi ile dawa ya kunasiana uliitegua au bado ipo?abake woote ila wewe aniachie tu
Hivi ile dawa ya kunasiana uliitegua au bado ipo?
Mwache aje anasie...Bado ipo My King........
Hiki kingereza gani unaandika nafikiri ungetumia kiswahili tuno! always tupo mbali nae coz he's working arusha n i'm working bukoba!! apa kaz ipo!
ovyooHata mimi nipo kama wewe unaonaje tukikutana tukajadili hili tatizo linalotusibu? Pm plz nimatumaini yangu tunawezaondokana natatizo hili.
Mkuu tuchukuliane katika mapungufu yetu. Muhimu ni kuona tatizo lake limetatulika.
Pole sana ndugu wewe una jini mahaba, na unahitaji tiba ya haraka. Njoo kwenye clinic yetu iliyopo Magomeni mapipa uonane na Mtaalam Dr Zakari na utatuliwa shida zako zote.Hi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua ikinitokea kama wiki 1 sasa!
Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima!
Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo mbali na nimpendae je nifanyeje?
Dah pole sanaHi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua ikinitokea kama wiki 1 sasa!
Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima!
Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo mbali na nimpendae je nifanyeje?