Hao ni quick reaction force kitengo cha JWTZ ambao ni wataalamu wa Explosives si unaona hata nguo zao walizovaa, kuwaprotect na milipuko.View attachment 54483
Nani Sijui wanamlinda gari na uniform kidogo zinatia utata.
kama ni wajeshi mbona wana gari la private company au jeshi lishauzwa?Hao ni quick reaction force kitengo cha JWTZ ambao ni wataalamu wa Explosives si unaona hata nguo zao walizovaa, kuwaprotect na milipuko.
Mwizi akitoka nduki wata mpata vipi?Halafu mavazi yanaonekana mazito kuwazidi
kama ni wajeshi mbona wana gari la private company au jeshi lishauzwa?