Hili ni janga kwa wanaume

Hili ni janga kwa wanaume

google helper

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
9,667
Reaction score
13,872
Kwa upande wangu mimi ni mzima wa afya tele, tena nikizidi kumwomba MUNGU azidi kunijalia mimi uzima pamoja na wana jamvi wenzangu.

Ufuatao ni mtazamo wangu then tutachangia kwa pamoja ili yamkini tupunguze au kumaliza kabisa ili tatizo, please be serious kwani tatizo la nguvu za kiume kila siku linasikika kwenye majukwaa mengi pamoja na ushoga kwa wanaume wengi hapa mjini.

Sababu ya ujumbe huu ni kutaka kuwakumbusha wenzangu kuwa kwa kweli kwa namna moja au nyingine wanaume tumekumbwa na tatizo kubwa sana la kupoteza asili na ujinsia wetu kama ifuatavyo;

1) Utasikia mara ooooh me nikipiga kimoja chali naomba ushauri wetu wanajamvi

2) Mara baada ya kupiga kimoja jogoo hakuitika tena mpaka siku nyingine

3) Waganga kutoka ufipa, kilosa, nigeria wanaodai wanatibu nguvu za kiume wanatufanya kutwa tunazunguka kila mahali kuwatafuta mpaka wengine wamepata marafiki waganga.

4) Wataalamu wa tiba mbadala nao wamefanya ajira kupitia tatizo hili.

5) Wanawake nao hawashikiki sababu ya kutafuta mwanaume mwenye uwezo na sio handsome kama zamani, huku wakiwapa majina mengi wasio na uwezo.

6) Wanaume tumegeuka mashabiki kwamba tunaweza kazi ila tukipewa kitumbua chali mpaka mwenye kitumbua anakuonea huruma.

7) Wanawake wamekuwa wakarimu sana kutua papuchi ila wanaume wanazikimbia na kukimbilia ushoga, imagine aliyekuwa anakula anataka kuliwa kweli inasikitisha

N.B
TUNAJUA KUWA WANAWAKE NI WENGI MARA KARIBU TANO UKILINGANISHA IDADI YA WANAUME, SASA JE ! HAWA WANAOSHINDWA KAZI NA KUJIUNGA NA WANAWAKE NANI ATAWAHUDUMIA WOTE ?


Baada ya kutafakari kwa mda sana moyo wangu uliona huruma kwa wale wote wanaoteseka na jambo hili hivyo nikaona ni vyema tukumbushane ili tulitafakari wote kama ma great thinker how to solve or to minimize it.

Hata hivyo kuna visababishi vingi vinavyo saidia kuongeza tatizo hili kwa wengi ambao hawajali ingawa wanafahamu kama vile

  1. Mlo wa chipsi zilizokaangwa na wafuta meusi sababu ya kukwepa gharama
  2. vyakula vya makemikali kila kukicha

Wanajamvi tushauriane kwa pamoja ili kunusuru wenzetu.
 
Hahahaaaaaa. Must be difficult being a man.
 
TatiZo wanawake wakiolewa. Wanasahau kujipetpet kama zaman hiyo napelekea kupunguza apetait kwa mwenza
 
Ni utafiti gani huo unaoonesha kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume. tena karibu mara tano?? na huo utafiti ulifanyika lini?
 
Ni kweli hili tatizo linatusumbua...na ni kweli unayotaja yanachangia ...pamoja na life style...especialy Uki-compare na maisha ya zamani: eg...unlike zamani...siku hizi mwanaume unaweza kukuta ana mtu jumatatu...jumanne ana ahadi na mtu mwingine....alhamisi tena...tena na mademu tofauti(including viduku)...sasa hizo nguvu za kuwaridhisha wote kila siku au after one day tunatowa wapi...? zamani ilikua kutongoza tabu ...hata kuona ndani tabu so once after 3 weeks or 4 weeks ...siku hizi kila siku.....jaribu kupiga angalau kwa wiki mbili mara moja uone kama nguvu hazijarudi..???!!! lakini pia kazi...kutokana na mfumo wa maisha siku hizi...na hivi tunavyo penda kutoka kimaisha haraka kazi zinakua nyingi, with stress amabao inatuaafect hata kisaikologia...so wakati mwingine mtu anaenda kufanya tu kwa vile ni mwanaume ...ana hamu kidogo na nini lakni sio kukamua ile yenyewe_ na kwenye kipindi kama hichi....kama mwanamke mwenyewe humpendi ndo bala zaidi...kama ana turnoff nyingi kwenye mapenzi ndo bala zaidi......................so apart from izo factors nyingine kwenye hili swala inabidi tuangalie sana LIFESTYLE zetu za maisha
 
Ni utafiti gani huo unaoonesha kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume. tena karibu mara tano?? na huo utafiti ulifanyika lini?
......sijafanya utafiti rasmi lakini hata hospitali nyingi...wakizaliwa watoto 5 ....3 wanakuwa wanawake 2 wanaume.....can u extrapolate that
 
mkuu umekuja na grapevine tu, huna takwimu sahihi, bali na unachofanya ni kujaribu kujipendekeza kwa wanawake tena unatumia hisia zako mwenyewe za ki-loverboy. kimsingi wanawake wanamatatizo lukuki kuliko hata wanaume. we liable to support them more than even to support ourselves.
 
unajua maneno ni sumu kali kuliko zote duniani tena maneno yale ya kuuudhi
hapa utakuta mke anamwambia mumewe maneno makali akishindwa game kwa mara ya kwanza hayo maneno yanaweza kumjengea mwanaume hofu kuuu juu ya je siku nyingine ataweza na mkiplan tena game ile hofu inaweza kumpunguzia nguvu mara mbili atawazia kushindwa tu

dawa ni kuchuja maneno ya kumwambia mpenzi au mume wako na hata kama hakufikishi bora kuigiza mbele yake na utumie tafsida kufikisha ujumbe
lakini ukimshusha sijui ohooooo kibamia mtamaliza waganga kumbe ugonjwa unaufuga wewe
 
......sijafanya utafiti rasmi lakini hata hospitali nyingi...wakizaliwa watoto 5 ....3 wanakuwa wanawake 2 wanaume.....can u extrapolate that
Seriously??? Doctor????
So kama kweli ratio ni 3:2 ndio ni mara 5? Au na wewe wajitoa ufahamu?
 
Kufanya ngono si lazima upige goli nyingi ndo uonekane rijali kumridhisha mwanamke ni pamoja na kumuuandaa kwa muda mrefu na kuhahakisha yupo kwenye mood hapo ukimsugua hata dk 3 haziishi atafika orgasm tu acheni kuwaparamia wanawake! Mapenzi ni sanaa
Ni kweli hili tatizo linatusumbua...na ni kweli unayotaja yanachangia ...pamoja na life style...especialy Uki-compare na maisha ya zamani: eg...unlike zamani...siku hizi mwanaume unaweza kukuta ana mtu jumatatu...jumanne ana ahadi na mtu mwingine....alhamisi tena...tena na mademu tofauti(including viduku)...sasa hizo nguvu za kuwaridhisha wote kila siku au after one day tunatowa wapi...? zamani ilikua kutongoza tabu ...hata kuona ndani tabu so once after 3 weeks or 4 weeks ...siku hizi kila siku.....jaribu kupiga angalau kwa wiki mbili mara moja uone kama nguvu hazijarudi..???!!! lakini pia kazi...kutokana na mfumo wa maisha siku hizi...na hivi tunavyo penda kutoka kimaisha haraka kazi zinakua nyingi, with stress amabao inatuaafect hata kisaikologia...so wakati mwingine mtu anaenda kufanya tu kwa vile ni mwanaume ...ana hamu kidogo na nini lakni sio kukamua ile yenyewe_ na kwenye kipindi kama hichi....kama mwanamke mwenyewe humpendi ndo bala zaidi...kama ana turnoff nyingi kwenye mapenzi ndo bala zaidi......................so apart from izo factors nyingine kwenye hili swala inabidi tuangalie sana LIFESTYLE zetu za maisha
 
Anaye jijua kuwa hajawahi kulidhishwa plz ni pm huduma utapata ,jitu linashindia chips kwa kijoti nguvi utapata wapi?kidume naamkia magimbi kwa supine chukuchuku ya pweza ,mchana bada kwa mchunga mixer maziwa mgando jioni mihogo yenye tui jingi plus mnazi kaka nani ataruka hapo?kilasiku mamangina anaomba giza liingie ili akapate hakiyake,tatizo hapo ni misosi na ba ndugu.
 
Mtazamo wako ndio unaweka takwimu? Wanawake hawako hata mara moja na nusu ya wanaume achilia mbali mara mbili.
Acheni kujitia ujinga.

umenifanya nikasome vizuri world population[sex ratio] kwa kweli sikujua kama kila wanawake 100 kuna wanaume 101!!!!

[h=1]Human sex ratio[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia

Map indicating the human sex ratio by country.[SUP][1][/SUP]
Countries with more females than males.
Countries with the same number of males and females (accounting that the ratio has 3 significant figures, i.e., 1.00 males to 1.00 females).
Countries with more males than females.
No data




Sex ratio by country for total population. Blue represents more women, red more men than the world average of 1.01 males/female.



Sex ratio by country population aged below 15. Blue represents more women, red more men than the world average of 1.06 males/female.



Sex ratio by country for population above 65. Blue represents more women, red more men than the world average of 0.79 males/female.


In anthropology and demography, the human sex ratio is the ratio of males to females in a population. Like most sexual species, the sex ratio in humans is approximately 1:1. The sex ratio at birth is commonly thought to be 120 boys to 100 girls, though this value is subject to debate in the scientific community. The sex ratio for the entire world population is 101 males to 100 females.[SUP][2][/SUP]
Gender imbalance may arise as a consequence of various factors ranging from natural factors and war casualties to intentional gender control and deliberate gendercide.
More data is available for humans than for any other species, and the human sex ratio is more studied than that of any other species, but interpreting these statistics can be difficult.
Human sex ratios, either at birth or in the population as a whole, might be quoted in any of four ways: the ratio of males to females, the ratio of females to males, the proportion of males, or the proportion of females. If there are 108,000 males and 100,000 females, the ratio would be quoted as 1.080. Sex ratio in scientific literature is often expressed as the proportion of males. In contrast, sex ratio quoted in this article is the ratio of males to females, unless specified otherwise
 
......sijafanya utafiti rasmi lakini hata hospitali nyingi...wakizaliwa watoto 5 ....3 wanakuwa wanawake 2 wanaume.....can u extrapolate that

Ufuatiliaji wangu pamoja na nadharia kadhaa nilizosoma shuleni vinathibitisha kwamba wanaume wanazaliwa wengi kuliko wanaume. Tatizo linajitokeza kwamba uwezekano wa mtoto wa kiume kuishi ni mdogo ukilinganisha na mtoto wa kike. Hivyo vifo vya watoto wachanga/wadogo huwakumba zaidi watoto wa kiume kuliko wa kike. Lkn hakuna popote (katika Afrika) ambako wanawake ni wengi mara 5 au hata mara 3 ya wanaume..! Yaani tumeseme nchi yenye watu milioni 2, wanaume wawe ni laki 4 halafu wanawake 1.6m?? Kitakuwa kiyama!
 
Kutokana na wingi wa wanawake miaka 5 ijayo tutaanza tongozwa

Pole sana mkuu... Unazungumzia miaka mitano ijayo???? uko dunia ya ngapi??? Mbona siku hizi wadada ndio wanaoongoza kwa kutongoza au hujawahi kupata bahati hiyo!????

Limeshakuwa ni jambo la kawaida kwa mwanamke kumtongoza mwanaume siku hizi....
 
tatizo wana hamfanyi mazoezi;kua na tabia ya kupiga tizi;mwenyewe utaniambia;sio kushnda gym kila cku;hasa jogging ndo yenyewe
 
Back
Top Bottom