MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,369
Taarifa sahihi ni kwamba Iseke CHADEMA ndo imeshinda Iseke iko jimbo la Tundu Lissu
Nimekusoma Mkuu, Ngoja nijipongeze maana naona watani zangu wanaamka kwa spidi ya mwanga. Bado sisi kwetu Iramba kwa nduli chemba ndio tunatia aibu.