Hili ni Aguko Kubwa kwa CCM!

Hili ni Aguko Kubwa kwa CCM!

ccm wana itikadi za kishetani.....wanazani wanongoza wafu ama wanyama, ccm ni ya kupingwa kwa hali ya juu, inasikitisha chama cha mapinduzi kina ratibu mipo ya kuuwa raia
 
Nimekuwa natafuta pia kutaka kujua matokeo yakoje hasa na nimeambulia habari ifuatayo ambayo labda inatoa mwanga fulani:

Hadi hivi sasa inaonekana CHADEMA imeinyang’anya CCM viti kadhaa vya Udiwani na kutuma ujumbe kuwa ‘upepo umebadilika’. Baadhi ya Kata ambazo matokeo yake yameshajulikana ni kama hivi:
1. Makuyuni, Monduli (ARUSHA) – CCM
2. Minepa, Ulanga (MOROGORO) – CCM
3. Bashnet, Babati (MANYARA)- CHADEMA
4. Nyampulikano, Sengerema (MWANZA) – CHADEMA
5. Masanze, Kilosa (MOROGORO) – CCM
6. Ifakara, Ifakara (MOROGORO) – CCM
7. Tingeni, Muheza (TANGA) – CCM

8. Genge, Muheza (TANGA) – CCM
9. Iyela, Mbeya (MBEYA) – CHADEMA
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
11. Manchira, Serengeti (MARA) – CCM


Habari hii nimeitoa kwenye blogu ya Mwanakijiji.

Ifakara CHADEMA diwani wake ni kijana Peter Lijuakali
 
Ni anguko baya maana sasa uhai wao uko ICU (Polisi na Usalama wa Taifa) wangeshakata roho kitambo.
 
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
12. Iseke ,Singida - CHADEMA

Hapa mwenye taarifa sahihi atujuze, haija kaa sawa. Kuna post zinasema CDM tumeshinda na zingine ccm wameshinda.
 
Hizi ni salamu tosha kwa mtengeneza muvi wa magamba chemba.a.k.a savimbi...
 
Kata ni Nyampulukano- sengerema, Iyela-Mbeya, Ifakara mjini, Lugata, Dongobeshi-Mbulu, Bashnet -Babati, na Iseke- Singida hizo zimechukuliwa na CHADEMA, katika hizo zilizokuwa za CHADEMA mwanzo ni ile ya Mbulu na Sengerema , wametetea kata zao na Kuchukua hizo nyingine 5 zilizokuwa zinashikiriwa na ccm

Mkuu hii kazi sio ndogo kwani hata kidogo kuwanyanganya kata tano na kutetea 2 sema tu kuna Mikoa bado wamelala
ila CCM wanazidi kujichimbia kaburi la 2015.
 
Mkuu hii kazi sio ndogo kwani hata kidogo kuwanyanganya kata tano na kutetea 2 sema tu kuna Mikoa bado wamelala
ila CCM wanazidi kujichimbia kaburi la 2015.
Sehemu zote ambazo CCM wameshinda ni kwa sababu daftari la wapiga kura halikuboreshwa. Kama daftari la wapiga kura lingeboreshwa tungekuwa tunaongea mambo mengine hapa. Kwa sasa CCM wanapumulia mashine. Na wenye akili ndani ya CCM wanajua kila kitu kinachowakabili huko mbele ila majukwaani wanajifariji kuwa wamebakiza Last Kick of the dying Horse
 
kata ni nyampulukano- sengerema, iyela-mbeya, ifakara mjini, lugata, dongobeshi-mbulu, bashnet -babati, na iseke- singida hizo zimechukuliwa na chadema, katika hizo zilizokuwa za chadema mwanzo ni ile ya mbulu na sengerema , wametetea kata zao na kuchukua hizo nyingine 5 zilizokuwa zinashikiriwa na ccm


Huo ni mwanzo mzuri. Unajua si kazi rahisi kuchukua kiti kilichokuwa kinakaliwa na chama cha zamani ccm.
 
Tulio wengi tunajua kuwa kulikuwa na uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 26 ambapo kata 4 za Arusha mjini uchaguzi huo ulihairishwa kufanyika kutokana na mlipuko wa bomu lililo pelekea watu wawili kufariki na wengine 70 kujeruhiwa.

Mimi katika uchaguzi huo nimeliona anguko la CCM katika maeneo yafuatayo:-

1. Chama kikongwe kinachoshika dola kimeweza kupoteza tena kata 5 ambazo kilikuwa kinazishikilia zimechukuliwa na CHADEMA huku CHADEMA wakitetea 2 za kwao walizokuwa wanazishikilia, hilo kwao ccm ni anguko, hawapandi bali wanashuka

2. Anguko la pili na baya zaidi ni lile la kuporomoka kwa maadili , sasa maadili hayapo tena ndani ya ccm, watu wanaropoka ovyo ovyo na kutukana matusi badala ya kujenga hoja kwa kueneza sera za chama chao, pia wameonekana wakitoa rushwa wa

CCM wananena kwa lugha,kama wale jamaa walivyokuwa wanajenga mnara wa babeli!!!!! Hapa hadi mnara uanguke na hakuna mbadala wake. Ndio maana hata katiba inakimbizwa kama maiti kuzikwa kabla ya mgharibi. CCM is prime and ready to get out of power
 
Nimekuwa natafuta pia kutaka kujua matokeo yakoje hasa na nimeambulia habari ifuatayo ambayo labda inatoa mwanga fulani:

Hadi hivi sasa inaonekana CHADEMA imeinyang'anya CCM viti kadhaa vya Udiwani na kutuma ujumbe kuwa ‘upepo umebadilika'. Baadhi ya Kata ambazo matokeo yake yameshajulikana ni kama hivi:
1. Makuyuni, Monduli (ARUSHA) – CCM
2. Minepa, Ulanga (MOROGORO) – CCM
3. Bashnet, Babati (MANYARA)- CHADEMA
4. Nyampulikano, Sengerema (MWANZA) – CHADEMA
5. Masanze, Kilosa (MOROGORO) – CCM
6. Ifakara, Ifakara (MOROGORO) – CCM
7. Tingeni, Muheza (TANGA) – CCM

8. Genge, Muheza (TANGA) – CCM
9. Iyela, Mbeya (MBEYA) – CHADEMA
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
11. Manchira, Serengeti (MARA) – CCM


Habari hii nimeitoa kwenye blogu ya Mwanakijiji.
Kata ni Nyampulukano- sengerema, Iyela-Mbeya, Ifakara mjini, Lugata, Dongobeshi-Mbulu, Bashnet -Babati, na Iseke- Singida hizo zimechukuliwa na CHADEMA, katika hizo zilizokuwa za CHADEMA mwanzo ni ile ya Mbulu na Sengerema , wametetea kata zao na Kuchukua hizo nyingine 5 zilizokuwa zinashikiriwa na ccm
 
mmetuchanganya!!!!!!!!!! iseke singida zipo ngapi?maana nimeona iseke moja kashinda ccm na nyingine kashinda chadema inakuwaje?tufafanulieni!
 
Kata ni Nyampulukano- sengerema, Iyela-Mbeya, Ifakara mjini, Lugata, Dongobeshi-Mbulu, Bashnet -Babati, na Iseke- Singida hizo zimechukuliwa na CHADEMA, katika hizo zilizokuwa za CHADEMA mwanzo ni ile ya Mbulu na Sengerema , wametetea kata zao na Kuchukua hizo nyingine 5 zilizokuwa zinashikiriwa na ccm

Asante kwa ufafanuzi mkuu. Hivi hiyo Nyampulukano ya Sengerema nayo haikuwa ya CCM kweli? Manake nakumbuka aliyekuwa diwani wake (akiitwa Tabasamu) alijivua uanachama wa CCM na kuhamia Chadema na hivyo kupelekea kata hiyo kuwa wazi.
 
1. Makuyuni, Monduli (ARUSHA) – CCM
2. Minepa, Ulanga (MOROGORO) – CCM
3. Bashnet, Babati (MANYARA)- CHADEMA
4. Nyampulikano, Sengerema (MWANZA) – CHADEMA
5. Masanze, Kilosa (MOROGORO) – CCM
6. Ifakara, Ifakara (MOROGORO) – CCM
7. Tingeni, Muheza (TANGA) – CCM
8. Genge, Muheza (TANGA) – CCM

9. Iyela, Mbeya (MBEYA) – CHADEMA
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
11. Manchira, Serengeti (MARA) – CCM
12. Iseke ,Singida - CHADEMA
13. Ifakara mjini, Ifakara -CHADEMA
14. Dongobeshi, Mbulu -CHADEMA
15. Lungata - CHADEMA

No 10 iseke singida Chadema
No 12 iseke singida ccm?????????? Ni sehemu tofauti au?
 
CCM hawana sera wao wapo kwa ajili ya kuboresha maslahi yao na familia zao. Zaidi wako kwa ajili ya masilahi wapate nenepesha makalio ya wake zao
 
10. Iseke, Singida (SINGIDA) – CCM
12. Iseke ,Singida - CHADEMA

Hapa mwenye taarifa sahihi atujuze, haija kaa sawa. Kuna post zinasema CDM tumeshinda na zingine ccm wameshinda.

Taarifa sahihi ni kwamba Iseke CHADEMA ndo imeshinda Iseke iko jimbo la Tundu Lissu
 
Kwa kitendo walichofanya AR, CCM imezidi kujichimbia kaburi wenyewe>>>>>>
 
Back
Top Bottom