cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,878
- 1,622
Unaweza ukapewa vyote hivyo , na bado ukafanya upumbavuVingi tu
A dick
A hug
Care
Understanding
Itaendelea.....
Unaweza ukapewa vyote hivyo , na bado ukafanya upumbavuVingi tu
A dick
A hug
Care
Understanding
Itaendelea.....
Wacha watengeneze tu maana waume zao ndio wanapenda hivyoHhhhhh
unataka watu watengeneze sumu ndani ya miili yaoo...!!!!
AmenVingi tu
A dick
A hug
Care
Understanding
Itaendelea.....
VxxgdthkgckjsdhMwanaume akikuomba 0713 MPE utapendwa milele..
You nailed it ha ha haa!22. Marufuku kuhoji chochote kinachomhusu mumeo, hata akikurudia asubuhi mpokee kwa mabusu motomoto, ukigundua ana kamchepuko huruhusiwi kukasirika sanasana mtie moyo kuwa unaelewa kwa nini anachepuka na umuombe radhi kwa kufuatilia maisha yake binafsi.
Niendelee?
Wanawake walio wengi wanapenda pesa sana kuliko mapenziUkweli mtupu
Ila haters watasema limbwata la kumteka mwanamke ni kumpa pesa
Hakuna binadamu asiyependa pesa...hata wewe unafanya kazi ili upate pesaWanawake walio wengi wanapenda pesa sana kuliko mapenzi
Yote haya ni mapenzi ya kuigiza, mimi sihitaji kukumbatiwa sijui kutumiwa mameseji kwamba napendwa kwasababu tumeoana kwakua tunapendana.ILI KUMTEKA MUMEO FANYA HAYA
1. Muite kwa jina lake la utani, jina lile analolipenda sana.
2. Muache atumie mamlaka yake kama
kichwa cha nyumba.
3. Usimcheke akiwa ameumizwa na
jambo fulani.
4. Kaa kimya pale anapokuwa na hasira.
Unaweza ukaenda kumuomba msamaha
na kumueleza kwanini ulimkosea pale
hasira zinapokua zimemuisha.
5. Kuwa na haraka ya kuomba msamaha
pale unapokosea, sisitiza juu ya msamaha na mbusu pale anapokusamehe.
6. Ongelea mazuri yake na yeye kabla
ndugu, jamaa na marafiki hawajafanya
hivyo.
7. Waheshimu wazazi wake. 8. Msisitize kuhusu kwenda kuwasalimia wazazi wake na kuwapelekea chochote. Na afanye hvyo na kwa wazazi wako pia.
9. Msuprise kwa chakula akipendacho,
hasa kipindi kile anapokuwa na msongo
wa mawazo. Na kamwe usimcheleweshee chakula chake.
10. Usiruhusu dada wa kazi amhudumie
chakula mume wako ukiwa nyumbani.
11. Mkaribishe kwa kumkumbatia
anapotoka kwenye mihangaiko yake,Msaidie mizigo aliyokuja nayo au hata begi.
12. Tabasamu pale unapomtizama, vaa
vizuri na jipendezeshe pale mnapotoka
wote kwenda kwenye warsha mbalimbali.
13. Mpigie simu na umwambie kwamba
unampenda na umemkumbuka
14. Muamshe asubuhi na umpe romance
kiasi kwamba ifike hatua ya kuhitaji, mpe
na hata jishughulisha na wanawake
wengine siku hiyo.
15. Kamwe usithubutu kutamka kuwa
hakuridhishi na tendo la ndoa. Tafuta njia muafaka ya kufikisha ujumbe wako.
16. Mwambie ni kiasi gani una bahati
kuwa nae kama mume wako.
17. Mkumbatie tu bila sababu yoyote ile.
18. Mshukuru Mungu kwa kukupa Adamu
wako katika maisha yako.
19. Kumbuka kumuombea na kumkabidhi
mikononi mwa Mungu.
20. Tengenezeni utaratibu wa familia
nzima kumshukuru Mungu kwa pamoja
kila asubuhi na usiku kabla ya kulala.
Mungu abariki ndoa yako.
Copied from
Didas Tumaini
Jf member
Jaribu halafu uje ulete mrejesho.Na yeye atafanya hayo kwangu?
kumbe kamati ya chini ni ajira inayopaswa kulipiwa? Mmh kazi ipo, mlipage na kodi sasaHakuna binadamu asiyependa pesa...hata wewe unafanya kazi ili upate pesa
kwa ambae hana mapenzi na wewe sawa sie tukipenda hatuangalii una nini bora furaha na amani iwepo kwa upande wangu 6 yrs ya ndoa na tulianza 1 ukiachana na vi slay kwin vya siku hiziHaya yanawezekana kama utaacha pochi nene nyumbani
Hongeraa sanaa mkuu kwa hatua mliofikiaaakwa ambae hana mapenzi na wewe sawa sie tukipenda hatuangalii una nini bora furaha na amani iwepo kwa upande wangu 6 yrs ya ndoa na tulianza 1 ukiachana na vi slay kwin vya siku hizi
Je sisi ?ILI KUMTEKA MUMEO FANYA HAYA
1. Muite kwa jina lake la utani, jina lile analolipenda sana.
2. Muache atumie mamlaka yake kama
kichwa cha nyumba.
3. Usimcheke akiwa ameumizwa na
jambo fulani.
4. Kaa kimya pale anapokuwa na hasira.
Unaweza ukaenda kumuomba msamaha
na kumueleza kwanini ulimkosea pale
hasira zinapokua zimemuisha.
5. Kuwa na haraka ya kuomba msamaha
pale unapokosea, sisitiza juu ya msamaha na mbusu pale anapokusamehe.
6. Ongelea mazuri yake na yeye kabla
ndugu, jamaa na marafiki hawajafanya
hivyo.
7. Waheshimu wazazi wake. 8. Msisitize kuhusu kwenda kuwasalimia wazazi wake na kuwapelekea chochote. Na afanye hvyo na kwa wazazi wako pia.
9. Msuprise kwa chakula akipendacho,
hasa kipindi kile anapokuwa na msongo
wa mawazo. Na kamwe usimcheleweshee chakula chake.
10. Usiruhusu dada wa kazi amhudumie
chakula mume wako ukiwa nyumbani.
11. Mkaribishe kwa kumkumbatia
anapotoka kwenye mihangaiko yake,Msaidie mizigo aliyokuja nayo au hata begi.
12. Tabasamu pale unapomtizama, vaa
vizuri na jipendezeshe pale mnapotoka
wote kwenda kwenye warsha mbalimbali.
13. Mpigie simu na umwambie kwamba
unampenda na umemkumbuka
14. Muamshe asubuhi na umpe romance
kiasi kwamba ifike hatua ya kuhitaji, mpe
na hata jishughulisha na wanawake
wengine siku hiyo.
15. Kamwe usithubutu kutamka kuwa
hakuridhishi na tendo la ndoa. Tafuta njia muafaka ya kufikisha ujumbe wako.
16. Mwambie ni kiasi gani una bahati
kuwa nae kama mume wako.
17. Mkumbatie tu bila sababu yoyote ile.
18. Mshukuru Mungu kwa kukupa Adamu
wako katika maisha yako.
19. Kumbuka kumuombea na kumkabidhi
mikononi mwa Mungu.
20. Tengenezeni utaratibu wa familia
nzima kumshukuru Mungu kwa pamoja
kila asubuhi na usiku kabla ya kulala.
Mungu abariki ndoa yako.
Copied from
Didas Tumaini
Jf member