Mkuu nikiingia kwenye PC ntakuwekea link ya utorrent uweze kuishusha kwani sio kubwa mb250, ikishindikana ntaku-pm unipe email yako nikutumie..
thanks chief, email io katika pm yako tayari
Mkuu nikiingia kwenye PC ntakuwekea link ya utorrent uweze kuishusha kwani sio kubwa mb250, ikishindikana ntaku-pm unipe email yako nikutumie..
mh..jazia nyama sawa yakoSawa
umepiga kiswahili, ila sidhani kama bibie ataipanda maana kila anayeondoka nadhani watakua wanabadilisha, ila nimependa reaction yako, uzui ni blog sio mm walioandika hivyo Nyani NgabuIle siyo gari ya Obama.
Ni gari ya rais wa Marekani na inamilikiwa na serikali ya Marekani.
USA baby View attachment 379931 View attachment 379932View attachment 379933.
yaani alama ya mnyama?Ile sio gari inaitwa beast
anashuka kama museveni.Nyumba choo, kuna choo kwenye hilo Gari? Kama hamna akibanwa na tumbo anafanyaje
Ile siyo gari ya Obama.
Ni gari ya rais wa Marekani na inamilikiwa na serikali ya Marekani.
USA baby View attachment 379931 View attachment 379932View attachment 379933.
LILA NA FILA HAVITENGAMANI MKUUNimeyasoma mawazo yako ulitamani iwe kama gari zenu za kiswahili ambazo hazili mafuta? Wenzetu wanangalia zaidi issue ya security sio mafuta. Acha akili za kimaskini
umepiga kiswahili, ila sidhani kama bibie ataipanda maana kila anayeondoka nadhani watakua wanabadilisha, ila nimependa reaction yako, uzui ni blog sio mm walioandika hivyo Nyani Ngabu
Wanamaana yao i guess bcoz haijaitwa angelbeast
yaani alama ya mnyama?
Angel ni code ya Airforce one ,walikua wanatumia hiyo code wakati wa Attack ya 9/11 lilipokuwa lipo hewani huko mpaka hali ikawa shwari ndio likashuka chiniWanamaana yao i guess bcoz haijaitwa angel
Watakuwa wanabeba pampas za kutoshaNyumba choo, kuna choo kwenye hilo Gari? Kama hamna akibanwa na tumbo anafanyaje
Kule tunajenga uwanja! Mpaka sasa tumeenda mara tatu! Miaka kumi ikiisha ni safari ngapi? Piga hesabu mwenyewe! Uwanja lazima!Kwa speed hio hatuwez kwenda nayo chato