Legeza mwendo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 519
- 653
Duh
Nashukuru mkuuLinaitwa "..the beast.." Yaani mnyama
Ni kampuni gani wametengeneza ilo gari
Ina uwezo wa ku withstand bombs and bullets......Vipi kuhusu bomu? Halipenyi?
mkuu kwa spid halikimbii Sana nadhani Si zaidi ya 100km/hr. pia hutumia mafuta mengi mno ndo mana kila penye nafasi imewekwa tank ya mafuta.
Ina uwezo wa ku withstand bombs and bullets......