Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Naona kama vile amani ya kweli ccm na serikali wameichoka wanatafuta machafuko na vita vya ndani.
Ivi kura za kupigwa siku mbili tena vikianza vyombo vya ulinzi wana lengo gani?
1. Kujua imani ya jeshi na tume wako mlengo gani?
2. Kuchakachua kura kwa kisingizio kuwa za jana zilikuwa nyingi.
3. Kwa nini hazihesabiwi siku husika mpaka wakalale nazo ndio zihesabiwe?
Ivi ccm wameichoka amani ya nchi kwa ulafi wa madaraka?
Ivi kura za kupigwa siku mbili tena vikianza vyombo vya ulinzi wana lengo gani?
1. Kujua imani ya jeshi na tume wako mlengo gani?
2. Kuchakachua kura kwa kisingizio kuwa za jana zilikuwa nyingi.
3. Kwa nini hazihesabiwi siku husika mpaka wakalale nazo ndio zihesabiwe?
Ivi ccm wameichoka amani ya nchi kwa ulafi wa madaraka?