Wacha kasumba weye! Kama hujui Zenj ka kimya!
kaka hapo na mimi nimekupata vizuri.
ingefaa pia ungefanya tathmini ya kutosha juu ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na waathirika wengi wa UKIMWI.
1.0 IRINGA 2. MBEYA 3. MOSHI. 4.0 MWANZA. 5.0 DSM (KINONDONI). 6. ARUSHA.
Na mikoa ambayo ina idadi ndogo ya waathirika wa ukimwi = Zanzibar.
Halafu ungefanya pia utafiti wa mikoa ambayo katika sakata la EPA na ufujaji wa Rasilimali za nchi aka MAFISADI ni ipi imeongoza. MOSHI NA ARUSHA.
Mungu alisema ukweli: "Ndani ya pombe kuna manufaa kidogo lakini madhara yake ni makubwa kuliko manufaa yake".
Napongeza ndugu zetu kuchoma mabaa.
Ni aibu kuhusianisha pombe na Ukristu.
mbona wanapata taabu sana...waende pale kiwandani TBL wakipige kiberiti kiwanda chote na vingine vyote
labda watafarijika
Hivi kuwa MLEVI ni fakhari au AIBU?
Mi naona sawa tu maana hivi Bar zimejaa kila kona ya nchi mpaka kwenye sehemu za kuishi watu, utakuta mtu anafungua Bar karibu ya shule, Kanisa na Msiki. Hii Tabia inazidikukuwa maana hakuna serikali inayofuata sheria ufisadi kila kona. Yanahitajika mapinduzi kama ya Tunisia au Misri
Koh koh koh...MMhm! Interesting, siku hizi unaisemea CCMkusema kweli hii serikali ya mseto hapa Zanzibar ni maafa tupu, huwezi amini kuna jamaa muuza matunda jana wamekuja wamebeba kila kitu wamepeleka manispaa na wakati hiyo biashara anaifanya kwa miaka 9 mahari pale lakini kwa kuwa ni mwana CCM tu kafanyiwa vituko ni serikali ya mseto....
Hivi hakuna kitu cha maana mnaweza kutetea?
Always nyie wenzetu upande wa pili kazi mmekuwa wepesi sana kutetea uchafuzi wa maadili?
What wrong guys?
huu ni uchafuzi na unyanyapaa wa lugha za watu.....
ulevi wa nini.... pombe.., mihadharati.., mirungi.., bangi..., kahawa....., coka cola.....?
<br />Hatua hii ya kachoma mabaa ni ya kupongezwa kwa sababu zifuatazo:<br />
<br />
1) Baa ni mahala salama kwa kuchochea uzinzi na madanguro na kusababisha UKIMWI kuenea kwa haraka!<br />
2) Baa ni mahala wanapokutana majambazi na wezi na hapo ndipo mikakati ya uhalifu husukwa!<br />
3) Baa hukutanisha mafisadi papa na nyangumi!<br />
4) Baa huchangia sana kuharibu Afya ya Binaadamu kwa kulewesha watu na kuchangia maendeleo ya jamii kudorora!<br />
5) Baa huchangia kuharibu maadili na utu wa binaadamu kwa kuuza pombe na kusababisha walevi wachafue mazingira kwa kukojoa ovyo barabarani!<br />
6) Baa husababisha ajali za barabarani kwa mlevi kuendesha gari na kusababisha roho za watu kupotea!<br />
7) Baa husababisha umasikini kwa mlevi kutumia fedha zake kwa pombe badala ya kununua chakula kwa familia yake!<br />
8) Baa husababisha mifarakano ya familia na kusababisha talaka!<br />
9) Baa ni mahali pa ugomvi na vita visivyokuwa na msingi!<br />
10) Baa unaweza kujipatia pombe na hata madawa ya kulevya na mengi machafu!<br />
<br />
Kama Wazanzibari wameanza kuchoma moto baa na madanguro ya walevi, basi ni tendo la kuungwa mkono na kila mwenye kuwatakia mema ndugu zetu wa huko! mimi nadhani hatua hii imechelewa kuchukuliwa kwani ilitakiwa ianze siku nyingi!<br />
<br />
Nashindwa kuelewa ni vipi Ukristo unahusishwa na Pombe wakati BIBLIA inakataza unywaji wa Pombe?<br />
<br />
Usiwe miongoni wanywao pombe!<br />
<i><b>mithali 23:20</b></i><br />
<br />
Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo;miongoni mwao walao nyama kwa pupa<br />
kwa maana mlevi na mlafi huingia umasikini!<br />
<br />
na utepetevu humvika mtu nguo<br />
<i><b>mith 23: 30</b></i><br />
<br />
<b>ni nani aliye na macho mekundu?</b><br />
niwale wakaao sana kwenye mvinyo waendao kutafuta divai iliyochanganywa!<br />
usitizame mvinyo iwapo ni nyekundu mwisho wake huuma kama nyoka macho yako yataona mambo mageni na moyo wako utatoa yaliyopotoka!<br />
<br />
Hivyo sio Uislamu peke yake unapiga vita pombe bali hata Ukristo umeharamisha Pombe bali viongozi wa Dini ndio wameruhusu kwa ulafi wao! <br />
Angalia madhara ya pombe: <br />
<a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Long-term_effects_of_alcohol" target="_blank"><b><i>Long-term effects of alcohol - Wikipedia, the free encyclopedia</i></b></a><br />
<br />
Mwisho nashauri hatua kama hiyo ya kuchoma Baa za pombe pia zianze Tanzania Bara kwani Pombe na Baa zimezagaa kama uyoga! na Changudoa na ukimwi umekuwa donda ndugu! Tuanze kuchoma Baa zote zilizoko maeneo wanaoishi familia zenye watoto na wanafunzi ili kupunguza vichocheo!!!!
Tabia ya kuchoma moto baa katika vitongoji vya Zanzibar haijaanza jana wala leo, ipo kwa muda mrefu tu! Zaidi ya uchomaji wa baa pia kuna uchomaji wa makanisa, uchomaji wa maduka ya pombe n.k Kuna wakati katika mtaa wa Darajani na barabara ya Benjamin Mkapa wasichana waliokuwa wamevaa suluali walichezea bakora za kutosha.
Ukiangalia historia ya baa na unywaji wa pombe katika Zanzibar, unaweza kushangaa kwa tabia hii ambayo sasa inazidi kuota mizizi. Wengi wanakumbuka kuwa Zanzibar iliwahi kuwa na kiwanda cha pombe kali kule Mahonda, hii iliweza kufanyika tu kutokana na kuwa serikali ilikuwa ikiangalia jinsi ya kupata mapato zaidi ya kuendekeza utashi katika imani fulani.
SMZ haina dini, na Zanzibar sio nchi ya kidini, hata hivyo hakuna shaka yoyote juu ya hujuma mbalimbali zinazofanyika huko kuchochewa na hao viongozi wa SMZ.
Hivi tuwaulize jamani, kuna dini ya kweli inayotetea ulevi na ufedhuli, hakuna zaidi ya dini ya uislamu- UISLAMU UNACHUKIA MAOVU NA UNAAMRISHA MEMA TU.... sisi wanzanzibari kama jamii ya kiislamu tuna haki zaidi ya kutunza mila na silka za jamii pamoja na kuheshimu tamaduni zetu UKIWEMO UISLAMU. hatuwezi kuuacha umma wetu upoitee eti kwa kuwafurahisha watu fulani. hatupo kuridhishana......... maovu ya wachache yawe kero kwa walio wengi. NASEME MUACHE KUSEMA MAMBO AMBAYO YAANAUDHI NA KUAMSHA MIHEMKO ITAKAYOPELEKEA CHUKI KATIKA JAMII. HATUTAKI WATOTO WETU WAWE WALEVI KAMA NYINYI............UPO!Where is religious tolerance? Hamad na CUF wapo wapi? Tunaomba Opinions...