samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV leo usiku jumla ya baa tatu zimechomwa moto na watu wasiojulikana ndani ya wiki moja. Inavyoonekana watu hawa wana mpango wa kumaliza baa zote huko zanzibar.
Wamiliki wa baa hizo mmoja anaitwa john na mwingine christopher ni wakristu. Inavyoonesha wachomaji wa baa hizo watakua waislamu ambao imani yao inapingana na pombe japokua baadhi yao ni wateja wazuri na wanatumia hata yule mdudu maarufu kama mbuzi mkatoliki. Katiba yetu inatoa uhuru wa kuabudu na kuheshimu uhuru wa kuabudu wa watu wengine.
Kila mtu akianza kuharibu kitu kinachopingana na imani yake watu si wataanza kuchoma misikiti na makanisa?? Zanzibar sio religious state bali ni secular state..
Wamiliki wa baa hizo mmoja anaitwa john na mwingine christopher ni wakristu. Inavyoonesha wachomaji wa baa hizo watakua waislamu ambao imani yao inapingana na pombe japokua baadhi yao ni wateja wazuri na wanatumia hata yule mdudu maarufu kama mbuzi mkatoliki. Katiba yetu inatoa uhuru wa kuabudu na kuheshimu uhuru wa kuabudu wa watu wengine.
Kila mtu akianza kuharibu kitu kinachopingana na imani yake watu si wataanza kuchoma misikiti na makanisa?? Zanzibar sio religious state bali ni secular state..