Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Ila wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.
U done did that ?.. Dar hii hii ?...wanyoaji wakiume ?...unawezaje mwanaume kuvumilia pussy umeiona ivi unaichezea ?..daah noma..
 
Karibuni nyote kwa huduma ya Waxing!
Kunyoa kwa kutumia Aloevera Wax ni Tsh 15,000 na kwa kutumia Diamond Wax ni Tsh 70,000
Nazungumza kama mmoja wa wanyoaji
Mimi natakusaidia bure, wateja wakikuzidia niite nikusaidie hela utachukua wewe mimi kazi yangu kunyonyoa mbususu
 
Ni jambo la ovyo sana.

Shemeji yenu ameanza huo mchezo eti kila jumamosi anaenda kunyolewa mavuzi.Inanikera

Je hili ni zoezi kwa maisha yote? Je vipi usafi wa hilo zoezi? Hakuna risk ya magonjwa?
Ni kweli wanaenda kunyoa mavuzi au kuna jambo lao wakifika huko?

Inakera!!!!
 
Duh sasa kama tunapenda hairty K
 
Nakubaliana na wewe kuwa linaweza kuwa jambo linalohitaji kuangaliwa vyema na mamlaka.

Ila mwanamke aliyefanyiwa waxing ana raha zake, that softness brings awesome impression.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…