Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,743
tendo hili lilikuwa linafanyika wakati ndoa changa ikiwa tamu kama machungwa ya Rufiji kwa sasa mhn! labda siku umeuza nyumba ya urithi ya babu yako na ukiwa wewe ndiye mrithi pekee!Kitu kikishaingia ukipinga lazima uonekane mshamba,ila siungi mkono hoja ya kunyolewa huko na mtu mwingine zaidi ya mke/mume wako.