Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 559
Wikiendi hii nimerudi Bongo na nimekuja kutembelea Uswahilini kwetu huku Mtaa wa Azimio, Kigogo Luhanga nimepata habari zenye Kiulizo inabidi niulize Wanajamvi humu ndani.
Serikali ya Mtaa ya huku Mtaani imekuwa ikiandikisha wakazi wa hapa ( Wanandoa)/ (Wenza wanaoishi pamoja) na kuwapiga Picha za Passportsize kisha kuahidi kuwapigia simu baada ya Muda ili waende kuchukua Pesa wanayoita ya 'Kuwezesha' kutoka kwa wakorea Tshs 200,000/- kwa kila mwanandoa (Jumla Tshs400,000/-) Pesa ambayo wanadai haina riba, sio Mkopo hivyo hautakiwi kuirudisha
-Hili linawezekanaje?...
-kuna hisani ya aina hii sehemu nyingine?...
-Hawa wakorea wanapata faida gani kwa hili?...
-Inawezekana kuwa wanatumiwa ili kuterezesha Uchaguzi 2020?
-Au ndio zile Milioni zetu kadhaa za kila Kijiji ndio zimeanza kutoka kwa staili hii?
Serikali ya Mtaa ya huku Mtaani imekuwa ikiandikisha wakazi wa hapa ( Wanandoa)/ (Wenza wanaoishi pamoja) na kuwapiga Picha za Passportsize kisha kuahidi kuwapigia simu baada ya Muda ili waende kuchukua Pesa wanayoita ya 'Kuwezesha' kutoka kwa wakorea Tshs 200,000/- kwa kila mwanandoa (Jumla Tshs400,000/-) Pesa ambayo wanadai haina riba, sio Mkopo hivyo hautakiwi kuirudisha
-Hili linawezekanaje?...
-kuna hisani ya aina hii sehemu nyingine?...
-Hawa wakorea wanapata faida gani kwa hili?...
-Inawezekana kuwa wanatumiwa ili kuterezesha Uchaguzi 2020?
-Au ndio zile Milioni zetu kadhaa za kila Kijiji ndio zimeanza kutoka kwa staili hii?