TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
Nimefarijika baada ya kusikia serikali imeliona hili la shule za private.shule hizi inatakiwa zidhibitiwe na ikibidi ziundiwe ewura yao.maana ada wanapandisha kila kukicha.kuchukua fomu ya kujiunga na shule ni zaidi ya 20000 wakati gharama ya karatasi moja haifiki senti 70 na kuchapa haifiki 300.iweje fomu itolewe kwa elfu ishirini au thelathini?