Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 433
Amani iwe kwenu Wana Jamvi
TRA imeamua kuwasajili wamachinga wote kutambulika ili waweze kulipa kodi kuchangia katika kukuza uchumi wa nchi yetu
Kwa hili kwa kweli sina budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuliona hili litasaidia sana kuongeza mapato na kuweza kusaidia kusukuma gurudumu la maendeleo mbele
Ila cha msingi wawawekee mazingira rafiki ya kufanyia kazi, Kadirio la kodi liendane na kipato cha machinga
Nawasilisha
Bm
TRA imeamua kuwasajili wamachinga wote kutambulika ili waweze kulipa kodi kuchangia katika kukuza uchumi wa nchi yetu
Kwa hili kwa kweli sina budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuliona hili litasaidia sana kuongeza mapato na kuweza kusaidia kusukuma gurudumu la maendeleo mbele
Ila cha msingi wawawekee mazingira rafiki ya kufanyia kazi, Kadirio la kodi liendane na kipato cha machinga
Nawasilisha
Bm