Inamaana hujui umuhimu wa Mond au unamchukia?.Leo katika hafla ya usimikaji wa RADAR, nimeona jambo ambalo sikuelewa dhamira ya Mkuu wa Mkoa wetu ilikuwa nini. Amemtambulisha Diamond na meneja wake kana kwamba wana umuhimu mkubwa zaidi ya hata mawaziri kina JAFFO na KIGWANGWALA ambao walikuwepo.Nini tafsiri ya hili jambo?
Du!, Maboso hebu pata Coca baridi hapo kwa Mangi.Washa king'amuzi cha Azam, tune channel namba 122. Halafu jikumbushe historia ya maisha ya Diamond Platinumz, kutoka kwenye kuiba cheni ya mama yake hadi sasa kuweza kumiliki TV, acha tu namna analipaisha jina la Tanzania katika tasnia ya muziki, acha tu anavyowalazimisha wageni kujifunza kiswahili ili waweze kuimba nyimbo zake, ukishayatafakari hayo bila shaka utajua kwa nini anapata heshima ya kutambulishwa. Usisahau pia kuwa ni muwakilishi wetu katika mashindano ya kombe la dunia yatakayofanyika huko Russia. Bila kusahau kuwa ndiye yeye pekee aliyepeperusha bendera ya Tanzania katika kombe la mataifa ya Africa.
watajuana wenyewe hata akimtambulisha kila siku hiyari yaoLeo katika hafla ya usimikaji wa RADAR, nimeona jambo ambalo sikuelewa dhamira ya Mkuu wa Mkoa wetu ilikuwa nini. Amemtambulisha Diamond na meneja wake kana kwamba wana umuhimu mkubwa zaidi ya hata mawaziri kina JAFFO na KIGWANGWALA ambao walikuwepo.Nini tafsiri ya hili jambo?
Baki huko huko kishimunduu...Kawekeza nn??
Hizi ndo akili za baadhi ya miafrika..iko na mihemko kila wakati.....Baki huko huko kishimunduu...
Yani kuna kazi kweli nchini humu....Angebanwa mngesema wasanii wanaonewa
wakipewa heshima mnauliza kwanini.
yani watanzania dah,ile takwimu ya kuwa ni vichaa kama inaukweli
BhuhahahahaHaahahahahaBashite anaweza kutambulisha hata binti yake wa kazi,sasa watamfanyaje wakati baba ni wake
Kwani hujui Diamond kawekeza nini, au ndo kujitoa ufahamu? Ukue uache ujinga..Hizi ndo akili za baadhi ya miafrika..iko na mihemko kila wakati.....
kwani hawana umuhimu , mtu anaitangaza nje ya nchi na kutoa ajira sio jambo dogoLeo katika hafla ya usimikaji wa RADAR, nimeona jambo ambalo sikuelewa dhamira ya Mkuu wa Mkoa wetu ilikuwa nini. Amemtambulisha Diamond na meneja wake kana kwamba wana umuhimu mkubwa zaidi ya hata mawaziri kina JAFFO na KIGWANGWALA ambao walikuwepo.Nini tafsiri ya hili jambo?
Miaka 27 bado unaita ni foolish age?...Wa tz tunawivu wa ajabu mond mpen haki yake tu
Tusimuhukumu kwa mapungufu yake bado yuko katika foolsh age lakin ndio ka invest vya kutosha na ndio aneipeperusha bendera ya taifa katika maswala ya burudani
Ukifuata historia yake maisha anastahil na pia anajua kujitoa katika jamii
Washa king'amuzi cha Azam, tune channel namba 122. Halafu jikumbushe historia ya maisha ya Diamond Platinumz, kutoka kwenye kuiba cheni ya mama yake hadi sasa kuweza kumiliki TV, acha tu namna analipaisha jina la Tanzania katika tasnia ya muziki, acha tu anavyowalazimisha wageni kujifunza kiswahili ili waweze kuimba nyimbo zake, ukishayatafakari hayo bila shaka utajua kwa nini anapata heshima ya kutambulishwa. Usisahau pia kuwa ni muwakilishi wetu katika mashindano ya kombe la dunia yatakayofanyika huko Russia. Bila kusahau kuwa ndiye yeye pekee aliyepeperusha bendera ya Tanzania katika kombe la mataifa ya Africa.
Hata mimi nashangaa!Hii tambia ya kuanzisha nyuzi pasi na picha hata moja maana yake nn?
Tafsiri yake ni kuwa Juliana Chonja akome kufuatilia fuatilia watu wenye network zao serikali kuu...Leo katika hafla ya usimikaji wa RADAR, nimeona jambo ambalo sikuelewa dhamira ya Mkuu wa Mkoa wetu ilikuwa nini. Amemtambulisha Diamond na meneja wake kana kwamba wana umuhimu mkubwa zaidi ya hata mawaziri kina JAFFO na KIGWANGWALA ambao walikuwepo.Nini tafsiri ya hili jambo?
Tunashukuru kwa hiyo Biography nzuri sasa turudi kwenye mad.a husika tafadhaliWasha king'amuzi cha Azam, tune channel namba 122. Halafu jikumbushe historia ya maisha ya Diamond Platinumz, kutoka kwenye kuiba cheni ya mama yake hadi sasa kuweza kumiliki TV, acha tu namna analipaisha jina la Tanzania katika tasnia ya muziki, acha tu anavyowalazimisha wageni kujifunza kiswahili ili waweze kuimba nyimbo zake, ukishayatafakari hayo bila shaka utajua kwa nini anapata heshima ya kutambulishwa. Usisahau pia kuwa ni muwakilishi wetu katika mashindano ya kombe la dunia yatakayofanyika huko Russia. Bila kusahau kuwa ndiye yeye pekee aliyepeperusha bendera ya Tanzania katika kombe la mataifa ya Africa.