candiasis
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 372
- 437
Wa tz tunawivu wa ajabu mond mpen haki yake tuLeo katika hafla ya usimikaji wa RADAR, nimeona jambo ambalo sikuelewa dhamira ya Mkuu wa Mkoa wetu ilikuwa nini. Amemtambulisha Diamond na meneja wake kana kwamba wana umuhimu mkubwa zaidi ya hata mawaziri kina JAFFO na KIGWANGWALA ambao walikuwepo.Nini tafsiri ya hili jambo?
Tusimuhukumu kwa mapungufu yake bado yuko katika foolsh age lakin ndio ka invest vya kutosha na ndio aneipeperusha bendera ya taifa katika maswala ya burudani
Ukifuata historia yake maisha anastahil na pia anajua kujitoa katika jamii