Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 363
- 313
kwa hiyo hata wafagizi ,wapika chai watakuwa polisi na wanajeshi ,Mkuu wa kaya hapa anatakiwa afikirie nje ya box
Nakubaliana na mkuu wa nchi, watumishi wote wa majeshi wanatakiwa wawe wajeshi ndio mana wanaajiri kuanzia darasa la saba na kuendelea,hapo watapatikana wafagizi,wapishi nk,,,,sababu ni utii na viapo ni vya uzalendo zaidi