Rais Magufuli, Waziri mkuu Majaliwa: Hili ni jipu Jeshi la Polisi Tanzania

Feb 27, 2016
109
138
Wapendwa wana JF, habari za majukumu na poleni sana kwa majukumu ya ujenz wa taifa letu.
Leo nimeamua kuandika uzi huu kwa Mh.Rais JPM na Mh.Waziri Mkuu mchapakazi MKM. wana JF

Najua mambo mengi sana serikali yetu inategemea askari polisi kuyafanya ikiwemo jukumu kubwa la kulinda usalama wa raia na mali zao. Japo wakati mwingine askari wetu wanatumika kisiasa lakini basically leo sio concern yangu.

Tunajua sana pamoja na makosa wanayofanya polisi wetu kama binadamu.mengine kwa kuamriwa kufanya,mengine kwa kufuata sheria za kikoloni PGO-Police General Order ambazo tunalia nazo siku zote zibadilishwe ili wafunguliwe kwenye vifungu vya kuwabana sana lakini ni wazi kuwa askari wetu hawa wanateseka sana.

UPANDISHWAJI WA VYEO:
1.Askari amemaliza depo moja na wenzake wanaelimu sawa na pia hana mashitaka yoyote ama ya kijeshi ama ya kiraia kwenye faili lakini mmoja anapendekezwa cheo mmoja anaendelea kubaki constebo wa kudumu over five to ten years.
2.Askari mwingine ana masters na mwingine ana certificate ya vehicle inspectors anatokea traffic na usajent au hata umeja wanateuliwa wote kwenda kozi ya nyota moja,baada ya mwaka mmoja yule mwenye certificate ya vehicle inspetors kwa kuwa anajuana na wakubwa wengi anapelekwa GO akawe gazette officer-(afisa wa nyota tatu) na yule mwenye masters yake aliyesoma kwa shida na tabu nyingi mototo wa mkulima maskini anabaki na kanyota kake kamoja mkaguzi msaidizi au mkaguzi. mwenye certificate anakuwa bosi wake hata miaka haijapita.

Tena anawasifia wenzake hawa wazee bhana bila kuwaona hufanikiwi utasota na kanyota kako kusubiri utaratibu wa miaka mi3.wakati huo mwenzake hana nguvu ya kuwaona wakubwa kwakuwa hayupo kitengo cha traffic au chenye maslahi.Sasa huyo mwenye certificate anaenda kuwa OCS yani mkuu wa kituo cha polisi mahali anaongoza askari wa vyeo vya chini wenye elimu zaidi yake.

Matokeo yake tunaona wanapokea order kutoka kwa viongozi wa juu wanatekeleza "differently" hana leadership skills,management skills na pia ana lack knowledge ya how to manage people at work. Strategic management.hivyo anashindwa kutekeleza majukumu yake anaongoza watu kwa cheo tu.

Wakati mwingine wanakamata watu kwa amri ya ocs wanafikishwa mahakamani halafu watuhumiwa wakiweka wakili askari wetu,wanakosa ushahidi,wanashindwa kujenga hoja mahakamani serikali inashindwa kesi.

Tumetumia magari ya polisi kupeleka watu mahakamani,mbwembwe,vitisho kesi wanashindwa kwenye"hearing" askari anafanyiwa "cross examination" na wakili,haji mahakamani mpaka hakimu au jaji anaondoa jalada mahakamani.kila siku upelelezi unaendelea.Pengine mtuhumiwa alikamtwa kwa kupigwa,kuteswa,kudhalilishwa mbele ya familia yake,ama marafiki na hata kuumia sana. Hiii inatia doa serikali yako Mh.na askari wetu wanajenga uadui mkubwa na raia.

KUTOLIPWA STAHIKI ZAO KULINGANA NA VYEO WALIVYOPANDISHWA:HILI NI JIPU KUBWA:
Msione kimya mkazani ni salama,hao askari wetu wanaofanya doria usiku kucha na mchana na pia tunaojivunia nao kwa kutoa kauli "uchaguzi utakuwa huru na haki askari wetu wako timamu watalinda usalama kwenye vituo vyetu",je mmewalipa stahiki zao?

Askari alikuwa na cheo cha sajent au meja anapandishwa cheo cha mkaguzi msaidizi tangu mwaka 2008 analipwa mshahara wa meja na yeye ni mkaguzi. Mwingine alikuwa constable akaenda (PSI) mkaguzi msaidizi tangu 2010.akapandishwa tena mkaguzi kamili analipwa mshahara wa conteble mwenye degree,ama wa meja au RSM mpaka leo 2016.

Mwingine alikuwa mkaguzi amepelekwa GO kawa officer tangu 2009 mpaka sasa 2016 analipwa mshahara wa inspector-mkaguzi.Viongozi wote wa jeshi la polisi mpo kimya.business as usual.Jambo hili lilikuwepo tangu kipindi cha IGP Mahita,Mwema na sasa kwa IGP Mangu.

Hawa askari ni nani atakae wasemea matatizo yao na wao wamefumbwa midomo na PGO ya kikoloni wasiweze kuhoji hatakama wanakandamizwa? Askari anakwenda makao makuu ya polisi kuulizia mbona alipandishwa cheo mika mitatu iliyopita akiwa rank & file sasa ni mkaguzi msaidizi au mkaguzi analipwa mshahara wa constable.Hata wa bachelor degree yake hapati.

MAJIBU: Nenda kasajili vyeti vyako huko kwa OC-CID/OCS/OCD/RPC au Mkuu wako wa chuo kama ni wale wa mavyuoni.Ukumbuke waliomruhusu kwenda chuo ni wao,na aliporudi alisajili vyeti tayari anaambiwa vyeti vyako hatuvioni kwenye faili.

Ama barua yako ya kupandishwa cheo hatuioni kwenye faili lako.hapo yupo masijala.PHQ.anayetoa majibu anachezea simu yake ya smart phone wala hamuangalii usoni.mwenzie katoka pengine vituoni au mkoani kufuatilia maslahi na kapewa muda anamajukumu kama yeye tena ya huyu wa kituoni au mikoa ya kipolisi yupo busy sana. Au "nenda kule hazina kafuatilie mwenyewe watakupandishia mshahara wako" Mwingine anasema "aah mimi nilimuona fulani nikampa nanihii kidogo yaani mwezi huohuo mshahara wangu wa uofficer nimelipwa".what is this?

Sasa kama mtu ni OCS bado analipwa mshahara wa A/Insp. miaka zaidi ya mitatu kwa nini asiwaambie askari wake fungeni watu kumi mashati leteni kituo,wanapewa charge ya uzembe na uzurulaji,halafu wanapewa nafasi ya mwisho kuongea na ndg zao kwaajili ya zamana,wanakuja kudhaminiwa kwa 30,000 alfu kila mmoja,hiyo utaita ni rushwa au ni ubunifu? na huko barabarani is the same.kweli tunasema tutapunguza ama kuondoa rushwa ndani ya jeshi la polisi wakati viongozi wapokimya makamishina na mkuu analipwa vizuri bila kuangalia maslahi ya askari wetu ambao ndiyo watendaji na wanao muweka mkuu pale juu?

MAPENDEKEZO YA UTATUZI WA MATATIZO HAYA YA ASKARI WETU:
Plan"A" kwa upandishwaji wa vyeo:

Katika upandishwaji wa vyeo kama viongozi wataamua kuwapa watu wao vyeo kwa kufuata umri mkubwa kazini lakini elimu haitoshelezi au kidugu ama kujuana.Muishie vyeo vya RANK & FILE lakini kwa majukumu ya kuwa kiongozi wa kitaifa ambao barua inatoka kwa amiri jeshi mkuu,wapendekezeni/wapeni wasomi,nchi hii kwa sasa imebadilika sana wananchi hawaburuzwi kama zamani.
Plan"B"
Kama ni lazima kuwapa vyeo vya juu mfano uofficer walikuwa na elimu iliyopelea kwa kigezo cha miaka mingi jeshini,basi msiwape majukumu ya kufanya maamuzi

Plan"A" kwa ulipwaji wa stahiki zao haraka:
Askari anapopendekezwa cheo cha ngazi ya ukaguzi au gazette officer-GO,majina yanatoka kazini kwake na kwenda makao makuu ya polisi na kufikia wizarani,na mchakato kufikia utumish na mwisho kwa Rais na kisha kusainiwa na kurudishwa kwa katibu mkuu na kurudi kwa IGP.

Hapo askari husomewa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewapandisha vyeo askari wafuatao.......Kwanini kopi au nakala ya majina ya wale waliopandishwa vyeo isiende hazina waandaliwe mishahara mipya? ili wakimaliza mafunzo tu wapate mishahara yao mipya kuliko kuwaambia wafuatilie mishahara mipya kama vyeo walijipandisha wenyewe?

Plan"B"
Hivi kweli kwa muda wa miezi sita wakiwa mafunzoni na wengine huwa wanaenda kozi ya miezi tisa second-commander.muda huo office ya Inspector General PHQ mishahara wakishirikiana na hazina wanashindwa kuwaandalia hawa askari mishahara mipya pamoja na muda wote wa mafunzo huo,mpaka wanarudi na kupangiwa new post na pia wanakaa miaka mitatu mpaka mitano huu kweli ni ubinadamu sio unyama?

Kinadharia amiri jeshi mkuu anapopandisha watumishi wa umma mwezi huohuo anatakiwa kupata mshahara mpya.Hayo mafunzo ni mbwembwe tu jins ya kwenda kufanyakazi katikanafasi yako mpya.Tumeona mawaziri alisema nimewapandisha vyeo kwa kuwateua kuwa mawaziri lakini hamna semina elekezi mtajifunza humohumo.Je na wao wangepaswa kucheweleshewa stahiki zao?

NB: Tusikimbilie kuwapa vitendea kazi vizuri magari ya doria,virungu,silaha,na ya maji ya kuwasha na kila kitu wakati hawana makazi mazuri,na pia wanalipwa mishahara kidogo.madeni kibao,kukopa mkopo wa nyumba za nssf au pspf au watumish housing ile sijui ma ya tatu,kiwango cha makato ya bot hakidhi.mkopo wake anaishia kununua chaser old model mil.3,mwingineananunua kiwanja hawezi kujenga akiishiwa anakiuza anakwenda kulewa pombe basi yaishe..TUACHE LAWAMA NA MANENO YASIYOKUWA NA UZALENDO KWA ASILIMIA KUBWA POLICE HAVE DONE EVERYTHING IN THIS COUNTRY (source polisi wenyewe) nawakilisha,

Tuchangie kwa hoja bila vyama na maneno matupu na lugha za kuuzi
 
Wapendwa wana JF, habari za majukumu na poleni sana kwa majukumu ya ujenz wa taifa letu.
Leo nimeamua kuandika uzi huu kwa Mh.Rais JPM na Mh.Waziri Mkuu mchapakazi MKM. wana JF

Najua mambo mengi sana serikali yetu inategemea askari polisi kuyafanya ikiwemo jukumu kubwa la kulinda usalama wa raia na mali zao. Japo wakati mwingine askari wetu wanatumika kisiasa lakini basically leo sio concern yangu.

Tunajua sana pamoja na makosa wanayofanya polisi wetu kama binadamu.mengine kwa kuamriwa kufanya,mengine kwa kufuata sheria za kikoloni PGO-Police General Order ambazo tunalia nazo siku zote zibadilishwe ili wafunguliwe kwenye vifungu vya kuwabana sana lakini ni wazi kuwa askari wetu hawa wanateseka sana.

UPANDISHWAJI WA VYEO:
1.Askari amemaliza depo moja na wenzake wanaelimu sawa na pia hana mashitaka yoyote ama ya kijeshi ama ya kiraia kwenye faili lakini mmoja anapendekezwa cheo mmoja anaendelea kubaki constebo wa kudumu over five to ten years.
2.Askari mwingine ana masters na mwingine ana certificate ya vehicle inspectors anatokea traffic na usajent au hata umeja wanateuliwa wote kwenda kozi ya nyota moja,baada ya mwaka mmoja yule mwenye certificate ya vehicle inspetors kwa kuwa anajuana na wakubwa wengi anapelekwa GO akawe gazette officer-(afisa wa nyota tatu) na yule mwenye masters yake aliyesoma kwa shida na tabu nyingi mototo wa mkulima maskini anabaki na kanyota kake kamoja mkaguzi msaidizi au mkaguzi. mwenye certificate anakuwa bosi wake hata miaka haijapita.

Tena anawasifia wenzake hawa wazee bhana bila kuwaona hufanikiwi utasota na kanyota kako kusubiri utaratibu wa miaka mi3.wakati huo mwenzake hana nguvu ya kuwaona wakubwa kwakuwa hayupo kitengo cha traffic au chenye maslahi.Sasa huyo mwenye certificate anaenda kuwa OCS yani mkuu wa kituo cha polisi mahali anaongoza askari wa vyeo vya chini wenye elimu zaidi yake.

Matokeo yake tunaona wanapokea order kutoka kwa viongozi wa juu wanatekeleza "differently" hana leadership skills,management skills na pia ana lack knowledge ya how to manage people at work. Strategic management.hivyo anashindwa kutekeleza majukumu yake anaongoza watu kwa cheo tu.

Wakati mwingine wanakamata watu kwa amri ya ocs wanafikishwa mahakamani halafu watuhumiwa wakiweka wakili askari wetu,wanakosa ushahidi,wanashindwa kujenga hoja mahakamani serikali inashindwa kesi.

Tumetumia magari ya polisi kupeleka watu mahakamani,mbwembwe,vitisho kesi wanashindwa kwenye"hearing" askari anafanyiwa "cross examination" na wakili,haji mahakamani mpaka hakimu au jaji anaondoa jalada mahakamani.kila siku upelelezi unaendelea.Pengine mtuhumiwa alikamtwa kwa kupigwa,kuteswa,kudhalilishwa mbele ya familia yake,ama marafiki na hata kuumia sana. Hiii inatia doa serikali yako Mh.na askari wetu wanajenga uadui mkubwa na raia.

KUTOLIPWA STAHIKI ZAO KULINGANA NA VYEO WALIVYOPANDISHWA:HILI NI JIPU KUBWA:
Msione kimya mkazani ni salama,hao askari wetu wanaofanya doria usiku kucha na mchana na pia tunaojivunia nao kwa kutoa kauli "uchaguzi utakuwa huru na haki askari wetu wako timamu watalinda usalama kwenye vituo vyetu",je mmewalipa stahiki zao?

Askari alikuwa na cheo cha sajent au meja anapandishwa cheo cha mkaguzi msaidizi tangu mwaka 2008 analipwa mshahara wa meja na yeye ni mkaguzi. Mwingine alikuwa constable akaenda (PSI) mkaguzi msaidizi tangu 2010.akapandishwa tena mkaguzi kamili analipwa mshahara wa conteble mwenye degree,ama wa meja au RSM mpaka leo 2016.

Mwingine alikuwa mkaguzi amepelekwa GO kawa officer tangu 2009 mpaka sasa 2016 analipwa mshahara wa inspector-mkaguzi.Viongozi wote wa jeshi la polisi mpo kimya.business as usual.Jambo hili lilikuwepo tangu kipindi cha IGP Mahita,Mwema na sasa kwa IGP Mangu.

Hawa askari ni nani atakae wasemea matatizo yao na wao wamefumbwa midomo na PGO ya kikoloni wasiweze kuhoji hatakama wanakandamizwa? Askari anakwenda makao makuu ya polisi kuulizia mbona alipandishwa cheo mika mitatu iliyopita akiwa rank & file sasa ni mkaguzi msaidizi au mkaguzi analipwa mshahara wa constable.Hata wa bachelor degree yake hapati.

MAJIBU: Nenda kasajili vyeti vyako huko kwa OC-CID/OCS/OCD/RPC au Mkuu wako wa chuo kama ni wale wa mavyuoni.Ukumbuke waliomruhusu kwenda chuo ni wao,na aliporudi alisajili vyeti tayari anaambiwa vyeti vyako hatuvioni kwenye faili.

Ama barua yako ya kupandishwa cheo hatuioni kwenye faili lako.hapo yupo masijala.PHQ.anayetoa majibu anachezea simu yake ya smart phone wala hamuangalii usoni.mwenzie katoka pengine vituoni au mkoani kufuatilia maslahi na kapewa muda anamajukumu kama yeye tena ya huyu wa kituoni au mikoa ya kipolisi yupo busy sana. Au "nenda kule hazina kafuatilie mwenyewe watakupandishia mshahara wako" Mwingine anasema "aah mimi nilimuona fulani nikampa nanihii kidogo yaani mwezi huohuo mshahara wangu wa uofficer nimelipwa".what is this?

Sasa kama mtu ni OCS bado analipwa mshahara wa A/Insp. miaka zaidi ya mitatu kwa nini asiwaambie askari wake fungeni watu kumi mashati leteni kituo,wanapewa charge ya uzembe na uzurulaji,halafu wanapewa nafasi ya mwisho kuongea na ndg zao kwaajili ya zamana,wanakuja kudhaminiwa kwa 30,000 alfu kila mmoja,hiyo utaita ni rushwa au ni ubunifu? na huko barabarani is the same.kweli tunasema tutapunguza ama kuondoa rushwa ndani ya jeshi la polisi wakati viongozi wapokimya makamishina na mkuu analipwa vizuri bila kuangalia maslahi ya askari wetu ambao ndiyo watendaji na wanao muweka mkuu pale juu?

MAPENDEKEZO YA UTATUZI WA MATATIZO HAYA YA ASKARI WETU:
Plan"A" kwa upandishwaji wa vyeo:

Katika upandishwaji wa vyeo kama viongozi wataamua kuwapa watu wao vyeo kwa kufuata umri mkubwa kazini lakini elimu haitoshelezi au kidugu ama kujuana.Muishie vyeo vya RANK & FILE lakini kwa majukumu ya kuwa kiongozi wa kitaifa ambao barua inatoka kwa amiri jeshi mkuu,wapendekezeni/wapeni wasomi,nchi hii kwa sasa imebadilika sana wananchi hawaburuzwi kama zamani.
Plan"B"
Kama ni lazima kuwapa vyeo vya juu mfano uofficer walikuwa na elimu iliyopelea kwa kigezo cha miaka mingi jeshini,basi msiwape majukumu ya kufanya maamuzi

Plan"A" kwa ulipwaji wa stahiki zao haraka:
Askari anapopendekezwa cheo cha ngazi ya ukaguzi au gazette officer-GO,majina yanatoka kazini kwake na kwenda makao makuu ya polisi na kufikia wizarani,na mchakato kufikia utumish na mwisho kwa Rais na kisha kusainiwa na kurudishwa kwa katibu mkuu na kurudi kwa IGP.

Hapo askari husomewa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewapandisha vyeo askari wafuatao.......Kwanini kopi au nakala ya majina ya wale waliopandishwa vyeo isiende hazina waandaliwe mishahara mipya? ili wakimaliza mafunzo tu wapate mishahara yao mipya kuliko kuwaambia wafuatilie mishahara mipya kama vyeo walijipandisha wenyewe?

Plan"B"
Hivi kweli kwa muda wa miezi sita wakiwa mafunzoni na wengine huwa wanaenda kozi ya miezi tisa second-commander.muda huo office ya Inspector General PHQ mishahara wakishirikiana na hazina wanashindwa kuwaandalia hawa askari mishahara mipya pamoja na muda wote wa mafunzo huo,mpaka wanarudi na kupangiwa new post na pia wanakaa miaka mitatu mpaka mitano huu kweli ni ubinadamu sio unyama?

Kinadharia amiri jeshi mkuu anapopandisha watumishi wa umma mwezi huohuo anatakiwa kupata mshahara mpya.Hayo mafunzo ni mbwembwe tu jins ya kwenda kufanyakazi katikanafasi yako mpya.Tumeona mawaziri alisema nimewapandisha vyeo kwa kuwateua kuwa mawaziri lakini hamna semina elekezi mtajifunza humohumo.Je na wao wangepaswa kucheweleshewa stahiki zao?

NB: Tusikimbilie kuwapa vitendea kazi vizuri magari ya doria,virungu,silaha,na ya maji ya kuwasha na kila kitu wakati hawana makazi mazuri,na pia wanalipwa mishahara kidogo.madeni kibao,kukopa mkopo wa nyumba za nssf au pspf au watumish housing ile sijui ma ya tatu,kiwango cha makato ya bot hakidhi.mkopo wake anaishia kununua chaser old model mil.3,mwingineananunua kiwanja hawezi kujenga akiishiwa anakiuza anakwenda kulewa pombe basi yaishe..TUACHE LAWAMA NA MANENO YASIYOKUWA NA UZALENDO KWA ASILIMIA KUBWA POLICE HAVE DONE EVERYTHING IN THIS COUNTRY (source polisi wenyewe) nawakilisha,

Tuchangie kwa hoja bila vyama na maneno matupu na lugha za kuuzi


Mh.Mh.Waziri mkuu,Mh.Rais ukitaka kuithibitisha hili jipu Muagize Mh.Waziri husika au Mh IGP awaagize ma RPC na Ma commandant wa vyuoni wakuletee majina ya askari waliopandishwa vyeo lakini hawalipwi mishahara mipya ya vyeo vyao stahiki,utasikitika na unaweza kulia. kuna askari tangu enzi za mkapa hawajalipwa mshahar wa vyeo vyao lakini masikini ya Mungu wanachapa kazi tu.

Ushahidi mmeona usimamizi mzuri wa general election 2015 pamoja na jins ulivyokuwa mgumu na kwa sasa wa marudio wa zanzibar.Au fanya ziara ya kushitukiza kama mnavyofanya huko kwenye wizara nyingine za serikali uone madudu mwenyewe.Hawa watu wapo kimya lakini wanaumia sana. Msione wengine wanaamua kuchukua maisha yao.Tumeshuhudia humu jamvini a number of police last year took their own life. Wanaishi katika hali ngumu sana tafadhali wasaidiwe sio kilasiku kuwaponda tu.

Polisi wakipewa likizo ya siku tatu tu nchi nzima tutatoka nje.mabenk naona yatafungwa mpaka warudi likizo.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni polisi walipwe stahiki zao na madeni yao mbona wakubwa wamejenga makasri ya kutisha,na jeshi ni hilo hilo moja hawa hawataki ziada walipwe kile wanachostahili.Kama kulikuwa hakuna fungu vyeo walipandishwa vya nini?

THE SAME APPLIED TO JESHI LA MAGEREZA na Fire But common to police force
 
Duh! Kumbe ndio ipo hivyo?kama ni kweli kwa staili hii kamwe rushwa kwa askari haitoisha.Yote kwa yote ninaamini kwa bandiko hili wahusika wataamka na watalifanyia kazi ipasavyo ikiwezekana waimalize kabisa kadhia hii kwa askari wetu.
 
Wapendwa wana JF, habari za majukumu na poleni sana kwa majukumu ya ujenz wa taifa letu.
Leo nimeamua kuandika uzi huu kwa Mh.Rais JPM na Mh.Waziri Mkuu mchapakazi MKM. wana JF

Najua mambo mengi sana serikali yetu inategemea askari polisi kuyafanya ikiwemo jukumu kubwa la kulinda usalama wa raia na mali zao. Japo wakati mwingine askari wetu wanatumika kisiasa lakini basically leo sio concern yangu.

Tunajua sana pamoja na makosa wanayofanya polisi wetu kama binadamu.mengine kwa kuamriwa kufanya,mengine kwa kufuata sheria za kikoloni PGO-Police General Order ambazo tunalia nazo siku zote zibadilishwe ili wafunguliwe kwenye vifungu vya kuwabana sana lakini ni wazi kuwa askari wetu hawa wanateseka sana.

UPANDISHWAJI WA VYEO:
1.Askari amemaliza depo moja na wenzake wanaelimu sawa na pia hana mashitaka yoyote ama ya kijeshi ama ya kiraia kwenye faili lakini mmoja anapendekezwa cheo mmoja anaendelea kubaki constebo wa kudumu over five to ten years.
2.Askari mwingine ana masters na mwingine ana certificate ya vehicle inspectors anatokea traffic na usajent au hata umeja wanateuliwa wote kwenda kozi ya nyota moja,baada ya mwaka mmoja yule mwenye certificate ya vehicle inspetors kwa kuwa anajuana na wakubwa wengi anapelekwa GO akawe gazette officer-(afisa wa nyota tatu) na yule mwenye masters yake aliyesoma kwa shida na tabu nyingi mototo wa mkulima maskini anabaki na kanyota kake kamoja mkaguzi msaidizi au mkaguzi. mwenye certificate anakuwa bosi wake hata miaka haijapita.

Tena anawasifia wenzake hawa wazee bhana bila kuwaona hufanikiwi utasota na kanyota kako kusubiri utaratibu wa miaka mi3.wakati huo mwenzake hana nguvu ya kuwaona wakubwa kwakuwa hayupo kitengo cha traffic au chenye maslahi.Sasa huyo mwenye certificate anaenda kuwa OCS yani mkuu wa kituo cha polisi mahali anaongoza askari wa vyeo vya chini wenye elimu zaidi yake.

Matokeo yake tunaona wanapokea order kutoka kwa viongozi wa juu wanatekeleza "differently" hana leadership skills,management skills na pia ana lack knowledge ya how to manage people at work. Strategic management.hivyo anashindwa kutekeleza majukumu yake anaongoza watu kwa cheo tu.

Wakati mwingine wanakamata watu kwa amri ya ocs wanafikishwa mahakamani halafu watuhumiwa wakiweka wakili askari wetu,wanakosa ushahidi,wanashindwa kujenga hoja mahakamani serikali inashindwa kesi.

Tumetumia magari ya polisi kupeleka watu mahakamani,mbwembwe,vitisho kesi wanashindwa kwenye"hearing" askari anafanyiwa "cross examination" na wakili,haji mahakamani mpaka hakimu au jaji anaondoa jalada mahakamani.kila siku upelelezi unaendelea.Pengine mtuhumiwa alikamtwa kwa kupigwa,kuteswa,kudhalilishwa mbele ya familia yake,ama marafiki na hata kuumia sana. Hiii inatia doa serikali yako Mh.na askari wetu wanajenga uadui mkubwa na raia.

KUTOLIPWA STAHIKI ZAO KULINGANA NA VYEO WALIVYOPANDISHWA:HILI NI JIPU KUBWA:
Msione kimya mkazani ni salama,hao askari wetu wanaofanya doria usiku kucha na mchana na pia tunaojivunia nao kwa kutoa kauli "uchaguzi utakuwa huru na haki askari wetu wako timamu watalinda usalama kwenye vituo vyetu",je mmewalipa stahiki zao?

Askari alikuwa na cheo cha sajent au meja anapandishwa cheo cha mkaguzi msaidizi tangu mwaka 2008 analipwa mshahara wa meja na yeye ni mkaguzi. Mwingine alikuwa constable akaenda (PSI) mkaguzi msaidizi tangu 2010.akapandishwa tena mkaguzi kamili analipwa mshahara wa conteble mwenye degree,ama wa meja au RSM mpaka leo 2016.

Mwingine alikuwa mkaguzi amepelekwa GO kawa officer tangu 2009 mpaka sasa 2016 analipwa mshahara wa inspector-mkaguzi.Viongozi wote wa jeshi la polisi mpo kimya.business as usual.Jambo hili lilikuwepo tangu kipindi cha IGP Mahita,Mwema na sasa kwa IGP Mangu.

Hawa askari ni nani atakae wasemea matatizo yao na wao wamefumbwa midomo na PGO ya kikoloni wasiweze kuhoji hatakama wanakandamizwa? Askari anakwenda makao makuu ya polisi kuulizia mbona alipandishwa cheo mika mitatu iliyopita akiwa rank & file sasa ni mkaguzi msaidizi au mkaguzi analipwa mshahara wa constable.Hata wa bachelor degree yake hapati.

MAJIBU: Nenda kasajili vyeti vyako huko kwa OC-CID/OCS/OCD/RPC au Mkuu wako wa chuo kama ni wale wa mavyuoni.Ukumbuke waliomruhusu kwenda chuo ni wao,na aliporudi alisajili vyeti tayari anaambiwa vyeti vyako hatuvioni kwenye faili.

Ama barua yako ya kupandishwa cheo hatuioni kwenye faili lako.hapo yupo masijala.PHQ.anayetoa majibu anachezea simu yake ya smart phone wala hamuangalii usoni.mwenzie katoka pengine vituoni au mkoani kufuatilia maslahi na kapewa muda anamajukumu kama yeye tena ya huyu wa kituoni au mikoa ya kipolisi yupo busy sana. Au "nenda kule hazina kafuatilie mwenyewe watakupandishia mshahara wako" Mwingine anasema "aah mimi nilimuona fulani nikampa nanihii kidogo yaani mwezi huohuo mshahara wangu wa uofficer nimelipwa".what is this?

Sasa kama mtu ni OCS bado analipwa mshahara wa A/Insp. miaka zaidi ya mitatu kwa nini asiwaambie askari wake fungeni watu kumi mashati leteni kituo,wanapewa charge ya uzembe na uzurulaji,halafu wanapewa nafasi ya mwisho kuongea na ndg zao kwaajili ya zamana,wanakuja kudhaminiwa kwa 30,000 alfu kila mmoja,hiyo utaita ni rushwa au ni ubunifu? na huko barabarani is the same.kweli tunasema tutapunguza ama kuondoa rushwa ndani ya jeshi la polisi wakati viongozi wapokimya makamishina na mkuu analipwa vizuri bila kuangalia maslahi ya askari wetu ambao ndiyo watendaji na wanao muweka mkuu pale juu?

MAPENDEKEZO YA UTATUZI WA MATATIZO HAYA YA ASKARI WETU:
Plan"A" kwa upandishwaji wa vyeo:

Katika upandishwaji wa vyeo kama viongozi wataamua kuwapa watu wao vyeo kwa kufuata umri mkubwa kazini lakini elimu haitoshelezi au kidugu ama kujuana.Muishie vyeo vya RANK & FILE lakini kwa majukumu ya kuwa kiongozi wa kitaifa ambao barua inatoka kwa amiri jeshi mkuu,wapendekezeni/wapeni wasomi,nchi hii kwa sasa imebadilika sana wananchi hawaburuzwi kama zamani.
Plan"B"
Kama ni lazima kuwapa vyeo vya juu mfano uofficer walikuwa na elimu iliyopelea kwa kigezo cha miaka mingi jeshini,basi msiwape majukumu ya kufanya maamuzi

Plan"A" kwa ulipwaji wa stahiki zao haraka:
Askari anapopendekezwa cheo cha ngazi ya ukaguzi au gazette officer-GO,majina yanatoka kazini kwake na kwenda makao makuu ya polisi na kufikia wizarani,na mchakato kufikia utumish na mwisho kwa Rais na kisha kusainiwa na kurudishwa kwa katibu mkuu na kurudi kwa IGP.

Hapo askari husomewa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewapandisha vyeo askari wafuatao.......Kwanini kopi au nakala ya majina ya wale waliopandishwa vyeo isiende hazina waandaliwe mishahara mipya? ili wakimaliza mafunzo tu wapate mishahara yao mipya kuliko kuwaambia wafuatilie mishahara mipya kama vyeo walijipandisha wenyewe?

Plan"B"
Hivi kweli kwa muda wa miezi sita wakiwa mafunzoni na wengine huwa wanaenda kozi ya miezi tisa second-commander.muda huo office ya Inspector General PHQ mishahara wakishirikiana na hazina wanashindwa kuwaandalia hawa askari mishahara mipya pamoja na muda wote wa mafunzo huo,mpaka wanarudi na kupangiwa new post na pia wanakaa miaka mitatu mpaka mitano huu kweli ni ubinadamu sio unyama?

Kinadharia amiri jeshi mkuu anapopandisha watumishi wa umma mwezi huohuo anatakiwa kupata mshahara mpya.Hayo mafunzo ni mbwembwe tu jins ya kwenda kufanyakazi katikanafasi yako mpya.Tumeona mawaziri alisema nimewapandisha vyeo kwa kuwateua kuwa mawaziri lakini hamna semina elekezi mtajifunza humohumo.Je na wao wangepaswa kucheweleshewa stahiki zao?

NB: Tusikimbilie kuwapa vitendea kazi vizuri magari ya doria,virungu,silaha,na ya maji ya kuwasha na kila kitu wakati hawana makazi mazuri,na pia wanalipwa mishahara kidogo.madeni kibao,kukopa mkopo wa nyumba za nssf au pspf au watumish housing ile sijui ma ya tatu,kiwango cha makato ya bot hakidhi.mkopo wake anaishia kununua chaser old model mil.3,mwingineananunua kiwanja hawezi kujenga akiishiwa anakiuza anakwenda kulewa pombe basi yaishe..TUACHE LAWAMA NA MANENO YASIYOKUWA NA UZALENDO KWA ASILIMIA KUBWA POLICE HAVE DONE EVERYTHING IN THIS COUNTRY (source polisi wenyewe) nawakilisha,

Tuchangie kwa hoja bila vyama na maneno matupu na lugha za kuuzi
Kweli si haki kabisa,kwa mfano miaka 5 kamishna kamili unalipwa mshahara kama RPC..... Kweli hili linabidi lipate solution mapema
 
Mleta uzi bila shaka wewe ni polisi mpenda mabadiliko lakini shida yenu mnakubali kutumika hovyo na wanasiasa na mnashindwa kupaza sauti zenu kutetea maslah yenu kwa kigezo cha kupokea maagizo toka juu.poleni sana.
 
Wapendwa wana JF, habari za majukumu na poleni sana kwa majukumu ya ujenz wa taifa letu.
Leo nimeamua kuandika uzi huu kwa Mh.Rais JPM na Mh.Waziri Mkuu mchapakazi MKM. wana JF

Najua mambo mengi sana serikali yetu inategemea askari polisi kuyafanya ikiwemo jukumu kubwa la kulinda usalama wa raia na mali zao. Japo wakati mwingine askari wetu wanatumika kisiasa lakini basically leo sio concern yangu.

Tunajua sana pamoja na makosa wanayofanya polisi wetu kama binadamu.mengine kwa kuamriwa kufanya,mengine kwa kufuata sheria za kikoloni PGO-Police General Order ambazo tunalia nazo siku zote zibadilishwe ili wafunguliwe kwenye vifungu vya kuwabana sana lakini ni wazi kuwa askari wetu hawa wanateseka sana.

UPANDISHWAJI WA VYEO:
1.Askari amemaliza depo moja na wenzake wanaelimu sawa na pia hana mashitaka yoyote ama ya kijeshi ama ya kiraia kwenye faili lakini mmoja anapendekezwa cheo mmoja anaendelea kubaki constebo wa kudumu over five to ten years.
2.Askari mwingine ana masters na mwingine ana certificate ya vehicle inspectors anatokea traffic na usajent au hata umeja wanateuliwa wote kwenda kozi ya nyota moja,baada ya mwaka mmoja yule mwenye certificate ya vehicle inspetors kwa kuwa anajuana na wakubwa wengi anapelekwa GO akawe gazette officer-(afisa wa nyota tatu) na yule mwenye masters yake aliyesoma kwa shida na tabu nyingi mototo wa mkulima maskini anabaki na kanyota kake kamoja mkaguzi msaidizi au mkaguzi. mwenye certificate anakuwa bosi wake hata miaka haijapita.

Tena anawasifia wenzake hawa wazee bhana bila kuwaona hufanikiwi utasota na kanyota kako kusubiri utaratibu wa miaka mi3.wakati huo mwenzake hana nguvu ya kuwaona wakubwa kwakuwa hayupo kitengo cha traffic au chenye maslahi.Sasa huyo mwenye certificate anaenda kuwa OCS yani mkuu wa kituo cha polisi mahali anaongoza askari wa vyeo vya chini wenye elimu zaidi yake.

Matokeo yake tunaona wanapokea order kutoka kwa viongozi wa juu wanatekeleza "differently" hana leadership skills,management skills na pia ana lack knowledge ya how to manage people at work. Strategic management.hivyo anashindwa kutekeleza majukumu yake anaongoza watu kwa cheo tu.

Wakati mwingine wanakamata watu kwa amri ya ocs wanafikishwa mahakamani halafu watuhumiwa wakiweka wakili askari wetu,wanakosa ushahidi,wanashindwa kujenga hoja mahakamani serikali inashindwa kesi.

Tumetumia magari ya polisi kupeleka watu mahakamani,mbwembwe,vitisho kesi wanashindwa kwenye"hearing" askari anafanyiwa "cross examination" na wakili,haji mahakamani mpaka hakimu au jaji anaondoa jalada mahakamani.kila siku upelelezi unaendelea.Pengine mtuhumiwa alikamtwa kwa kupigwa,kuteswa,kudhalilishwa mbele ya familia yake,ama marafiki na hata kuumia sana. Hiii inatia doa serikali yako Mh.na askari wetu wanajenga uadui mkubwa na raia.

KUTOLIPWA STAHIKI ZAO KULINGANA NA VYEO WALIVYOPANDISHWA:HILI NI JIPU KUBWA:
Msione kimya mkazani ni salama,hao askari wetu wanaofanya doria usiku kucha na mchana na pia tunaojivunia nao kwa kutoa kauli "uchaguzi utakuwa huru na haki askari wetu wako timamu watalinda usalama kwenye vituo vyetu",je mmewalipa stahiki zao?

Askari alikuwa na cheo cha sajent au meja anapandishwa cheo cha mkaguzi msaidizi tangu mwaka 2008 analipwa mshahara wa meja na yeye ni mkaguzi. Mwingine alikuwa constable akaenda (PSI) mkaguzi msaidizi tangu 2010.akapandishwa tena mkaguzi kamili analipwa mshahara wa conteble mwenye degree,ama wa meja au RSM mpaka leo 2016.

Mwingine alikuwa mkaguzi amepelekwa GO kawa officer tangu 2009 mpaka sasa 2016 analipwa mshahara wa inspector-mkaguzi.Viongozi wote wa jeshi la polisi mpo kimya.business as usual.Jambo hili lilikuwepo tangu kipindi cha IGP Mahita,Mwema na sasa kwa IGP Mangu.

Hawa askari ni nani atakae wasemea matatizo yao na wao wamefumbwa midomo na PGO ya kikoloni wasiweze kuhoji hatakama wanakandamizwa? Askari anakwenda makao makuu ya polisi kuulizia mbona alipandishwa cheo mika mitatu iliyopita akiwa rank & file sasa ni mkaguzi msaidizi au mkaguzi analipwa mshahara wa constable.Hata wa bachelor degree yake hapati.

MAJIBU: Nenda kasajili vyeti vyako huko kwa OC-CID/OCS/OCD/RPC au Mkuu wako wa chuo kama ni wale wa mavyuoni.Ukumbuke waliomruhusu kwenda chuo ni wao,na aliporudi alisajili vyeti tayari anaambiwa vyeti vyako hatuvioni kwenye faili.

Ama barua yako ya kupandishwa cheo hatuioni kwenye faili lako.hapo yupo masijala.PHQ.anayetoa majibu anachezea simu yake ya smart phone wala hamuangalii usoni.mwenzie katoka pengine vituoni au mkoani kufuatilia maslahi na kapewa muda anamajukumu kama yeye tena ya huyu wa kituoni au mikoa ya kipolisi yupo busy sana. Au "nenda kule hazina kafuatilie mwenyewe watakupandishia mshahara wako" Mwingine anasema "aah mimi nilimuona fulani nikampa nanihii kidogo yaani mwezi huohuo mshahara wangu wa uofficer nimelipwa".what is this?

Sasa kama mtu ni OCS bado analipwa mshahara wa A/Insp. miaka zaidi ya mitatu kwa nini asiwaambie askari wake fungeni watu kumi mashati leteni kituo,wanapewa charge ya uzembe na uzurulaji,halafu wanapewa nafasi ya mwisho kuongea na ndg zao kwaajili ya zamana,wanakuja kudhaminiwa kwa 30,000 alfu kila mmoja,hiyo utaita ni rushwa au ni ubunifu? na huko barabarani is the same.kweli tunasema tutapunguza ama kuondoa rushwa ndani ya jeshi la polisi wakati viongozi wapokimya makamishina na mkuu analipwa vizuri bila kuangalia maslahi ya askari wetu ambao ndiyo watendaji na wanao muweka mkuu pale juu?

MAPENDEKEZO YA UTATUZI WA MATATIZO HAYA YA ASKARI WETU:
Plan"A" kwa upandishwaji wa vyeo:

Katika upandishwaji wa vyeo kama viongozi wataamua kuwapa watu wao vyeo kwa kufuata umri mkubwa kazini lakini elimu haitoshelezi au kidugu ama kujuana.Muishie vyeo vya RANK & FILE lakini kwa majukumu ya kuwa kiongozi wa kitaifa ambao barua inatoka kwa amiri jeshi mkuu,wapendekezeni/wapeni wasomi,nchi hii kwa sasa imebadilika sana wananchi hawaburuzwi kama zamani.
Plan"B"
Kama ni lazima kuwapa vyeo vya juu mfano uofficer walikuwa na elimu iliyopelea kwa kigezo cha miaka mingi jeshini,basi msiwape majukumu ya kufanya maamuzi

Plan"A" kwa ulipwaji wa stahiki zao haraka:
Askari anapopendekezwa cheo cha ngazi ya ukaguzi au gazette officer-GO,majina yanatoka kazini kwake na kwenda makao makuu ya polisi na kufikia wizarani,na mchakato kufikia utumish na mwisho kwa Rais na kisha kusainiwa na kurudishwa kwa katibu mkuu na kurudi kwa IGP.

Hapo askari husomewa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewapandisha vyeo askari wafuatao.......Kwanini kopi au nakala ya majina ya wale waliopandishwa vyeo isiende hazina waandaliwe mishahara mipya? ili wakimaliza mafunzo tu wapate mishahara yao mipya kuliko kuwaambia wafuatilie mishahara mipya kama vyeo walijipandisha wenyewe?

Plan"B"
Hivi kweli kwa muda wa miezi sita wakiwa mafunzoni na wengine huwa wanaenda kozi ya miezi tisa second-commander.muda huo office ya Inspector General PHQ mishahara wakishirikiana na hazina wanashindwa kuwaandalia hawa askari mishahara mipya pamoja na muda wote wa mafunzo huo,mpaka wanarudi na kupangiwa new post na pia wanakaa miaka mitatu mpaka mitano huu kweli ni ubinadamu sio unyama?

Kinadharia amiri jeshi mkuu anapopandisha watumishi wa umma mwezi huohuo anatakiwa kupata mshahara mpya.Hayo mafunzo ni mbwembwe tu jins ya kwenda kufanyakazi katikanafasi yako mpya.Tumeona mawaziri alisema nimewapandisha vyeo kwa kuwateua kuwa mawaziri lakini hamna semina elekezi mtajifunza humohumo.Je na wao wangepaswa kucheweleshewa stahiki zao?

NB: Tusikimbilie kuwapa vitendea kazi vizuri magari ya doria,virungu,silaha,na ya maji ya kuwasha na kila kitu wakati hawana makazi mazuri,na pia wanalipwa mishahara kidogo.madeni kibao,kukopa mkopo wa nyumba za nssf au pspf au watumish housing ile sijui ma ya tatu,kiwango cha makato ya bot hakidhi.mkopo wake anaishia kununua chaser old model mil.3,mwingineananunua kiwanja hawezi kujenga akiishiwa anakiuza anakwenda kulewa pombe basi yaishe..TUACHE LAWAMA NA MANENO YASIYOKUWA NA UZALENDO KWA ASILIMIA KUBWA POLICE HAVE DONE EVERYTHING IN THIS COUNTRY (source polisi wenyewe) nawakilisha,

Tuchangie kwa hoja bila vyama na maneno matupu na lugha za kuuzi
Haya Madai yenu Pelekeni pale Lumumba huenda mkafikiriwa.
Laana za kutumiwa na wana Siasa kunyanyasa Raia wasio na hatia Malipo yake ni hapa hapa Duniani
 
Nilifikiri utaongelea jipu la rushwa kubwa kubwa na ndogo ndogo wanazopokea mapolisi mpaka wanafikia kutotenda haki.

Kuna polisi amma kabla ya kustaafu amma baada ya kustaafu wana majumba na wengine vijiji kabisa.

Ukilinganisha na vipato vyao hata wafanye kazi ya upolisi kwa miaka 100 kwa cheo chochote kile haiwezekani wawe wamevipata kihalali.
 
Kweli si haki kabisa,kwa mfano miaka 5 kamishna kamili unalipwa mshahara kama RPC..... Kweli hili linabidi lipate solution mapema
kwa kamishna kulipwa chini ya kiwango ni uzembe wake mwenyewe.

Hicho ni cheo kikubwa sana chenye maamuzi,kuwa mzembe anakuwa ameamua.
 
Mkipewa amri kupiga wapinzani shida zenu zote hizi mnasahau alafu mnataka tuwahurumie.Nyinyi na walimu hamna tofauti kabisa.Kaeni hivyo hivyo!!
 
Nilifikiri utaongelea jipu la rushwa kubwa kubwa na ndogo ndogo wanazopokea mapolisi mpaka wanafikia kutotenda haki.

Kuna polisi amma kabla ya kustaafu amma baada ya kustaafu wana majumba na wengine vijiji kabisa.

Ukilinganisha na vipato vyao hata wafanye kazi ya upolisi kwa miaka 100 kwa cheo chochote kile haiwezekani wawe wamevipata kihalali.

Mara kwa mara ninaposoma maandishi yako huwa nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yako.

Katika karne hii asilimia kubwa wa wafanyakazi wanalaunch small businesses kwa hiyo sio kila kipato chao wanatoa kwenye rushwa, don't be too judgemental especialy kwa Polisi ambao wengi hatuwapendi kutokana na nature ya kazi yao na hivyo kuamini ukuaji wao kiuchumi ni rushwa...nop! Nimeona polisi na waalimu wanafungua saana biashara ndogo ndogo.

Pia hivi huko shule ulienda kusomea ujinga bibi?
 
Kaka inaonekana wewe una masters au digriii. Na unaona bado una cheo sawa na huyu wa ka certificate na mshahara ni mmoja. Kiukweli inaumiza sana na yawezekana hapo kazini kwenu wenye hizo masters yawezekana hata RPC au OC CID hawana hizo qualifications kama zako. Hivyo, wote hao wana kuogopa ndo maana umeachwa achwa, lkni wanaelewa. Wenda wanafanya hivyo ili utafute kazi zingine, kwa kuwa wanaona elimu ulionayo haiendani na kazi ya uaskari. Mfano, kushika waarifu hakuhitaji uwe na digriii au masters. La kufanya, usiendelee kuteseka wakati elimu unayo. Uwe unatafuta kazi zingine kimya kimya, ukipata lala mbele, na uwajulishe PSPF au NSSF kuwa umepata employer mpya ili uendelee kuchangia kwenye mfuko wa pensions. Pole sana, lkni ndo nchi hii ilivyo,ukisoma sana wana ku frastrate.
 
Kweli haya ni madai mazito sana, Askari wetu nao ni binadamu, wanajitolea sana, nao pia wanafamilia,wanahitaji kuangaliwa na masilahi yao kuboreshwa.
Serikali izingatie sana mada hii na iifanyie kazi.

Sera mpya ya ulinzi ni jeshi dogo lakini la kisasa, Sasa utakuwaje na jeshi la Kisasa kama unafrustrate wasomi?, Wakikimbia si utabaki na jeshi la wasio soma, hii haitakuwa sawa!
 
Mleta mada uko sahihi, mimi sio askari lakini ninaishi Tanzania na ninawaona askari na mfumo wao wa kimaisha,
Tuko nao mtaani na tunawaona kila siku..

My take.

MOSI
Kwa nini Mleta uzi umekaa na haya yoote tangia awali bila kuyaweka hadharani hadi unapofikia tukio la polisi kupelekwa zanzibar Ili kudhibiti hali ya vurugu isitokee hasa kwa wale wanaotaka Uchaguzi usifanikiwe. (namaanisha chama fulani ambacho kina ushawishi na kimesusia)??

Tena umeupost uzi wako, kama uzi wa dharula, maana umeupost usiku wa saa kumi alfajiri ya kuamkia leo jumamosi 19/03/2016. Kulikoni???

PlLI,
Uchambuzi wako ni makini na nina uhakika hata ukiuwakilisha kwa JPM, ninavyomuamini ni lazima ataufanyia kazi ipasavyo, kuliko kuuleta humu kama chagizo fulani lenye
lengo fulani Ili kuwavunja moyo askari ambao tayari wako makini eneo la tukio.

HITIMISHO.

Ni vema tukaisaidia serikali ya JPM kupambana na ufisadi mfumo kama huu,
Hata Rais magufuli anasisitiza kila hotuba anayoitoa kwamba kazi iliyoko Mbele yake ni kubwa na inahitajika kila raia kutimiza wajibu wake kama raia wa nchi husika Ili kukabiliana na ufisadi uliotamalaki kila pembe ya nchi hii.

Nimekufurahia saaana kwa uchambuzi wako wa jipu hili na mishipa yake kwa upana kabisa. Na ninakuomba usiishie humu JF, una nafasi kubwa ya kuutafuta mwanya kuhakikisha unawafikia walengwa.
Hapa simaanishi polisi HQ, la hasha Bali tafuta namna Ili uifikie ikulu moja kwa moja au tafuta JAMHURI media Ili wakusaidie kuufikisha tu. Maana wakiuchapishay wataitwa wachochezi... Ahsante sana, haya ni maoni yangu binafsi na hongera sana Mleta Mada, wewe ni aina ya wachangiaji tunaowahitaji katika kipindi hiki na unatumia muda na akili yako vizuri kwa manufaa ya watanzania wenzako, (lakini kama kuna ajenda nyuma ya Mada yako mimi sintakuunga mkono)
 
Mleta uzi bila shaka wewe ni polisi mpenda mabadiliko lakini shida yenu mnakubali kutumika hovyo na wanasiasa na mnashindwa kupaza sauti zenu kutetea maslah yenu kwa kigezo cha kupokea maagizo toka juu.poleni sana.
Mkuu si umesoma palipoandikwa kuwa wanaongozwa na pgo ya kikolon
 
Polisi ni namba moja Kwa kukandamiza haki za binadamu ....I hate police honestly...kuna unyama sana unaofanywa na Hawa watu....but hata wana falsafa walitabiri "Plato" police should the men who are less bright " so they should not be paid high as compared to the golden boys...anyway simanishi kua wasipewe stahiki zao ,la hasha but wajirekebishe wamezidi Kwa unyanyasaji tena wa raia wasio na hata ,,,my brother aliewahi kulala mahabusu kwenye mavi na funza kisa tu ana kesi ya ardhi na Askari wakati Askari ndo mvamizi...Mungu awasamehe na sidhani kumweka mtu kwenye mazingira hatarishi ya kiafya ni kumjenga hyo ni against human rights awe guilt or not guilt ,convicts or suspects should be deprived their freedom not being kept in a filth environment..na hua hamna fidia na hata kama ni kuitafuta ni long fucker...Mungu awasamehe
 
Back
Top Bottom