Watumishi raia wote waliopo Jeshi la Polisi kwenda Depo kuhenya

wwww

JF-Expert Member
Mar 20, 2012
350
252
Wanajamvi nimepata taarifa kutoka chanzo changu ndani ya Jeshi la Polisi kuwa watumishi raia wote waliopo huku wanatakiwa kwenda depo kuhenya ili atimaye kutekeleza amri ya Rais aliyoitoa siku alipokuwa anawapandisha vyeo Makamishina wa Polisi aliposema hataki kuona Raia yeyote kwenye majeshi ya Tanzania.

Hivyo naambiwa tarehe 09.08.2016 kulifanyika kikao Makao Makuu ya Polisi (PHQ) chini ya Kaimu Kamishina wa Utawala akiwapa taarifa hiyo Raia ili waendelee kutafakari kuhusu suala hilo wakati wao wakisubiri maelekezo mengine kutoka Ikulu. Kwa mujibu wa mtoa taarifa Kamishina wa Utawala aliwaahidi watumishi hao kuwa watazingatia vitu vifuatavyo katika kutoa vyeo kwa watumishi raia watakaokwenda depo na hatimaye kuwa askari polisi;

1. Muda wa utumishi wake Serikalini / Polisi
2. Cheo alichonacho sasa cha uraia
3. Mshahara anaolipwa kwa sasa
4. Elimu aliyonayo
5. Nafasi aliyopo kwa sasa
Vigezo hivi vitalinganishwa na askari Polisi ambaye anafanya kazi kwa sasa

Kwa taarifa niliyopewa ni kwamba mwitikio ni mdogo sana hasa kwa watumishi wenye elimu kubwa lakini kwa wahudumu na makatibu mhutasi mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pia mkumbuke kuwa hata huko JWTZ nako kuna kitu kama hiki kilishafanyika na kinaendelea kufanyika.

My Take: Rais Magufuli ametafakari kwa kina kuhusu jambo hili au hana washauri, itakula kwake. Ebu tusubiri tuone hii sinema.

Naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine ili watu waweze kujadili suala hili kwa kina na kwa usalama wa nchi yetu.
 
Wanajamvi nimepata taarifa kutoka chanzo changu ndani ya Jeshi la Polisi kuwa watumishi raia wote waliopo huku wanatakiwa kwenda depo kuhenya ili atimaye kutekeleza amri ya Rais aliyoitoa siku alipokuwa anawapandisha vyeo Makamishina wa Polisi aliposema hataki kuona Raia yeyote kwenye majeshi ya Tanzania.

Hivyo naambiwa tarehe 09.08.2016 kulifanyika kikao Makao Makuu ya Polisi (PHQ) chini ya Kaimu Kamishina wa Utawala akiwapa taarifa hiyo Raia ili waendelee kutafakari kuhusu suala hilo wakati wao wakisubiri maelekezo mengine kutoka Ikulu. Kwa mujibu wa mtoa taarifa Kamishina wa Utawala aliwaahidi watumishi hao kuwa watazingatia vitu vifuatavyo katika kutoa vyeo kwa watumishi raia watakaokwenda depo na hatimaye kuwa askari polisi;

1. Muda wa utumishi wake Serikalini / Polisi
2. Cheo alichonacho sasa cha uraia
3. Mshahara anaolipwa kwa sasa
4. Elimu aliyonayo
5. Nafasi aliyopo kwa sasa
Vigezo hivi vitalinganishwa na askari Polisi ambaye anafanya kazi kwa sasa

Kwa taarifa niliyopewa ni kwamba mwitikio ni mdogo sana hasa kwa watumishi wenye elimu kubwa lakini kwa wahudumu na makatibu mhutasi mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pia mkumbuke kuwa hata huko JWTZ nako kuna kitu kama hiki kilishafanyika na kinaendelea kufanyika.

My Take: Rais Magufuli ametafakari kwa kina kuhusu jambo hili au hana washauri, itakula kwake. Ebu tusubiri tuone hii sinema.

Naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine ili watu waweze kujadili suala hili kwa kina na kwa usalama wa nchi yetu.

Kwa kweli hii itakula kwake, hao raia kwenye majeshi walikuwa wako neutral na walikuwa hawafati amri za kijeshi, sasa kama mtu aliyekuwa rais na sasa anakuwa mwanajeshi wa cheo cha chini basi hatakuwa na uwezo aliokuwa nao wa kutoshurutishwa na amri za kijeshi
 
Wasiache kumpeleka na lugumi nasikia naye ni mtumishi Wa jeshi la police
 
Wanajamvi nimepata taarifa kutoka chanzo changu ndani ya Jeshi la Polisi kuwa watumishi raia wote waliopo huku wanatakiwa kwenda depo kuhenya ili atimaye kutekeleza amri ya Rais aliyoitoa siku alipokuwa anawapandisha vyeo Makamishina wa Polisi aliposema hataki kuona Raia yeyote kwenye majeshi ya Tanzania.

Hivyo naambiwa tarehe 09.08.2016 kulifanyika kikao Makao Makuu ya Polisi (PHQ) chini ya Kaimu Kamishina wa Utawala akiwapa taarifa hiyo Raia ili waendelee kutafakari kuhusu suala hilo wakati wao wakisubiri maelekezo mengine kutoka Ikulu. Kwa mujibu wa mtoa taarifa Kamishina wa Utawala aliwaahidi watumishi hao kuwa watazingatia vitu vifuatavyo katika kutoa vyeo kwa watumishi raia watakaokwenda depo na hatimaye kuwa askari polisi;

1. Muda wa utumishi wake Serikalini / Polisi
2. Cheo alichonacho sasa cha uraia
3. Mshahara anaolipwa kwa sasa
4. Elimu aliyonayo
5. Nafasi aliyopo kwa sasa
Vigezo hivi vitalinganishwa na askari Polisi ambaye anafanya kazi kwa sasa

Kwa taarifa niliyopewa ni kwamba mwitikio ni mdogo sana hasa kwa watumishi wenye elimu kubwa lakini kwa wahudumu na makatibu mhutasi mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pia mkumbuke kuwa hata huko JWTZ nako kuna kitu kama hiki kilishafanyika na kinaendelea kufanyika.

My Take: Rais Magufuli ametafakari kwa kina kuhusu jambo hili au hana washauri, itakula kwake. Ebu tusubiri tuone hii sinema.

Naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine ili watu waweze kujadili suala hili kwa kina na kwa usalama wa nchi yetu.
Itakulaje kwake wakati yeye anayo kazi ila wao ndio wanaweza kukosa kazi wakidengua, by the way, hiyo Elimu na ujuzi walionao hao watumishi raia kwa sasa sio ishu sana kwani kuna askari wadogo wameingia na elimu sawa au zaidi ya hizo, hao walitumika sana zamani wakati jeshi halikuwa na wataalam askari, so kwa sasa hatishii chochote, waende depo au warudi utumishi wakapangiwe kazi nyingine.
 
Mambo mengine yanahitaji maandalizi jamani, na pia unaweka lengo kwa mtindo wa kuphase out polepole!
 
Wanajamvi nimepata taarifa kutoka chanzo changu ndani ya Jeshi la Polisi kuwa watumishi raia wote waliopo huku wanatakiwa kwenda depo kuhenya ili atimaye kutekeleza amri ya Rais aliyoitoa siku alipokuwa anawapandisha vyeo Makamishina wa Polisi aliposema hataki kuona Raia yeyote kwenye majeshi ya Tanzania.

Hivyo naambiwa tarehe 09.08.2016 kulifanyika kikao Makao Makuu ya Polisi (PHQ) chini ya Kaimu Kamishina wa Utawala akiwapa taarifa hiyo Raia ili waendelee kutafakari kuhusu suala hilo wakati wao wakisubiri maelekezo mengine kutoka Ikulu. Kwa mujibu wa mtoa taarifa Kamishina wa Utawala aliwaahidi watumishi hao kuwa watazingatia vitu vifuatavyo katika kutoa vyeo kwa watumishi raia watakaokwenda depo na hatimaye kuwa askari polisi;

1. Muda wa utumishi wake Serikalini / Polisi
2. Cheo alichonacho sasa cha uraia
3. Mshahara anaolipwa kwa sasa
4. Elimu aliyonayo
5. Nafasi aliyopo kwa sasa
Vigezo hivi vitalinganishwa na askari Polisi ambaye anafanya kazi kwa sasa

Kwa taarifa niliyopewa ni kwamba mwitikio ni mdogo sana hasa kwa watumishi wenye elimu kubwa lakini kwa wahudumu na makatibu mhutasi mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pia mkumbuke kuwa hata huko JWTZ nako kuna kitu kama hiki kilishafanyika na kinaendelea kufanyika.

My Take: Rais Magufuli ametafakari kwa kina kuhusu jambo hili au hana washauri, itakula kwake. Ebu tusubiri tuone hii sinema.

Naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine ili watu waweze kujadili suala hili kwa kina na kwa usalama wa nchi yetu.
Itakula kwake vipi wakati maagizo ameyatoa kuwa raia waondolewe jeshini.
Sasa hao makamanda wana-negotiate na hao wafanyakazi kiubinadam,kuwabadilisha wawe askari waendelee kutenda majukumu yao yaleyale wakishamaliza mafunzo.
Mtoa mada hauelewi "jeuri" ya serikali. Mifano Ipo mingi tulishaona. Ndomaana tunasema mtumishi yeyote wa serikali ndiye anayeitegemea serikali kuendesha maisha yake na si serikali kumtegemea yeye.
Wao wanaweza wakatimua na nafasi hizo zikajazwa na watu wengine wenye sifa bora zaidi kwa muda was dakika"0".
Hakuna mtumishi nyeti. Mfano mmoja ulio hai ni Tanganyika rifles jeshi la Taifa walivoasi mwaka 64. Walifukuzwa wote na serikali kukodi jeshi la ulinzi toka Nigeria kuchukua nafasi.
Unaandika mada bila kujua maamuzi ya serikali yalivo na nguvu hayatetereki,bali mwenye kutetereka ni mwajiriwa anayeishi kuitegemea serikali na ndiyo maana kunakitu kipo kinaitwa "nidhamu".
 
Kwa kweli hii itakula kwake, hao raia kwenye majeshi walikuwa wako neutral na walikuwa hawafati amri za kijeshi, sasa kama mtu aliyekuwa rais na sasa anakuwa mwanajeshi wa cheo cha chini basi hatakuwa na uwezo aliokuwa nao wa kutoshurutishwa na amri za kijeshi
Muwe mnasoma Nada mnazielewa kabla ya ku-comment.
Mtoa mada kasema kuwa, watakapomaliza mafunzo watapewa vyeo equivalent na mishahara yao pa1 na nyadhifa zao za awali.
 
Muwe mnasoma Nada mnazielewa kabla ya ku-comment.
Mtoa mada kasema kuwa, watakapomaliza mafunzo watapewa vyeo equivalent na mishahara yao pa1 na nyadhifa zao za awali.
Kaka vyeo vya jeshi vinaendana na mafunzo ya kijeshi, umri, medani za kivita na wala sio kisomo chako, wala cheo chako cha kiraia, huwezi kuniambia mtu aliyekuwa mkurugenzi kwa cheo cha kiraia akitoka magunzo ya mwaka basi atakuwa meja jeneral, au brigedia
 
Itakula kwake vipi wakati maagizo ameyatoa kuwa raia waondolewe jeshini.
Sasa hao makamanda wana-negotiate na hao wafanyakazi kiubinadam,kuwabadilisha wawe askari waendelee kutenda majukumu yao yaleyale wakishamaliza mafunzo.
Mtoa mada hauelewi "jeuri" ya serikali. Mifano Ipo mingi tulishaona. Ndomaana tunasema mtumishi yeyote wa serikali ndiye anayeitegemea serikali kuendesha maisha yake na si serikali kumtegemea yeye.
Wao wanaweza wakatimua na nafasi hizo zikajazwa na watu wengine wenye sifa bora zaidi kwa muda was dakika"0".
Hakuna mtumishi nyeti. Mfano mmoja ulio hai ni Tanganyika rifles jeshi la Taifa walivoasi mwaka 64. Walifukuzwa wote na serikali kukodi jeshi la ulinzi toka Nigeria kuchukua nafasi.
Unaandika mada bila kujua maamuzi ya serikali yalivo na nguvu hayatetereki,bali mwenye kutetereka ni mwajiriwa anayeishi kuitegemea serikali na ndiyo maana kunakitu kipo kinaitwa "nidhamu".

Wewe huelewi mambo ya nchi yanavyokwenda. Uamuzi wa kuweka raia kwenye majeshi haukulenga kwamba wanajeshi au Polisi hawana uwezo wa kufanya kazi wanazofanya raia bali ilikuwa na zaidi ya hilo. Uliza wanaojua watakusimulia. Acha kudanganya watu kwamba serikali haiwategemei watumishi bali watumishi kuitegemea Serikali. Kama Serikali inaweza kuwafukuza watumishi na watumishi wanaweza kuacha kazi za umma, hujawahi sikia mtumishi wa Serikali kaacha kazi Serikalini na kaenda kufanya kazi sehemu nyingine?
 
Back
Top Bottom