sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,565
- 11,479
Songwe wameumia
Mleta mada anaweweseka tuUnasemea Lissu yupi? Kama ni Mheshimiwa Tundu Antipasi Lissu the Brightest Parliamentarian in the Bunge of Tanzania, sio kweli. Nina ushahidi wa kuingiziwa fedha pale Azikiwe Branch more than 10M wiki iliyopita.
BTW nasikia hata Spika hatimaye kaachia mshahara wake.
jikite kwenye hoja
safi kamanda.Sie group letu whatsapp tunamchangia 5m kila mwezi kwa zaidi ya mwaka sasa. Na ninafahamu yako magroup kama hayo mengi yanamchangia.
Hakuna tulipokwama kama mtoa mada anavyojaribu kusema
Sent using Jamii Forums mobile app