Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Inaumiza sana. Yaani hizi tambo zetu humu JF n.k si wa Mikoani wala Dar ambao wamefanikiwa. Sisi tunadharaulika. Yaani tuna wagegeda akina sijui nini flower wana mastress kibao tunaacha watu wa maana huko wanalalamika wapo single na hawajawahi pewa Mimba.
Halima mpaka leo ni single na hana mtoto. Imagine. Halima anaongea maneno haya na upo na Mzee wako au Mama yako mnaangalia TV au mnasikiliza Radio.
Anakuonaje? Anakuona Zebwe sana... Halafu upo upo tu unasema Simba itachukua Ubingwa sijui Yanga ninii... Anakutizama anasema hiiii.... Hamna kitu hapo. Unaacha mambo ya msingi yenye maana. Unahangaika kuwapa mimba akina KIOKOTE humu JF.
Inashangaza. Vikao vyetu mara nyingi tunazungumzia hili suala. Mimba wapewe wanawake wanaojiweza. Hawa wengine ni kuwaonea tu. Unampa mimba TURUDIE choka mbaya. Usipompa tu tsh 10,000 ya matumizi anakuja kukupost JF.
Inashangaza sana Halima ni mwanamke mzuri tu anafaa na bado wanaume tumeshindwa deal naye. Mimi naitisha kikao Wekeend hii tuteue mtu mmoja ashughulikie hilo. Kama mtataka mimi nikaongee naye sawa. Maana isionekane najipigia debe. Na mwenyekiti wetu anaonekana ame fail. Ni bora mniteua mimi niwaongoze ili tufike mbali.
Halima mpaka leo ni single na hana mtoto. Imagine. Halima anaongea maneno haya na upo na Mzee wako au Mama yako mnaangalia TV au mnasikiliza Radio.
Anakuonaje? Anakuona Zebwe sana... Halafu upo upo tu unasema Simba itachukua Ubingwa sijui Yanga ninii... Anakutizama anasema hiiii.... Hamna kitu hapo. Unaacha mambo ya msingi yenye maana. Unahangaika kuwapa mimba akina KIOKOTE humu JF.
Inashangaza. Vikao vyetu mara nyingi tunazungumzia hili suala. Mimba wapewe wanawake wanaojiweza. Hawa wengine ni kuwaonea tu. Unampa mimba TURUDIE choka mbaya. Usipompa tu tsh 10,000 ya matumizi anakuja kukupost JF.
Inashangaza sana Halima ni mwanamke mzuri tu anafaa na bado wanaume tumeshindwa deal naye. Mimi naitisha kikao Wekeend hii tuteue mtu mmoja ashughulikie hilo. Kama mtataka mimi nikaongee naye sawa. Maana isionekane najipigia debe. Na mwenyekiti wetu anaonekana ame fail. Ni bora mniteua mimi niwaongoze ili tufike mbali.