Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye, akimkabidhi bendera msanii wa Bongofleva Nasib Abdul(Diamond Platnum) anayekwenda kutumbuiza katika ufunguzi wa mashindano yatakayofanyika Januari 14 nchini Gabon iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Dayamondi hajapelekwa Bali kaenda kwa juhudi zake usitake kuchukua credits kwa jasho la mtu mwingine. Hata Kiba akikaza sana na kuwa international anaweza kuombwa
Bendera ya Tanzania ni haki ya mtanzania yeyote sio taifa stars pekee hata wewe unaweza pewa bendera ya Tz
Taifa stars kama ilishindwa kufanya vizuri kipindi cha Kikwete haiwezi fanya vizuri tena