myself scenario
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 347
- 213
- Thread starter
- #61
Kuna ka ukweli lakintabia haina kabilaaa
Kuna ka ukweli lakintabia haina kabilaaa
Ni vizuri kufanya upembuzi yakinifu.we c muoaji... bali mpekuzi2....
Umepanic mkuu huu mchezo hauitaji hasiraMkuu heshima kwanza,naomba sisi binadamu tuache kudhani au kuendekeza midomo ya wapumbavu,toka lini kabila fulani tu tukaliandama eti wao wanagawa hovyo miili yao?,kutaja Wahaya na kuwatwisha kashfa sio jambo jema,sababu hakuna kabila duniani ambalo halina vicheche,makabila yote duniani yana watu wa aina hiyo,ndio maana vitabu vitakatifu vimekemea uzinzi kwa mataifa yote duniani,na havikukemea uzinzi kwa Wahaya tu,tuache tabia hizo.

Hahahaaa inachekesha lakini ni kweli.
Humu ukitaja wewe ni Msukuma [watu wanahisi ni mimi]!
Ukitaja tu neno USA [watu wanahisi ni mimi]!
Kuna vijimambo kweli humu.
Acha ushamba basiiiiiii STATES wala hakuna deal kama unavyopa promote ZOEA BASI
Polepole mkuu. Utatuua Wasukuma uwiiiiiiiiiiiiiiii!Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Aaah kumbe ni mchezo,basi sawa.Umepanic mkuu huu mchezo hauitaji hasira![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sijawahi kucheka hivi tangu nijiunge JF, Gentamycine you are crazy. I wish nikuone.
Haya pirateAcha uoga wewe
Singidani hiyo mzee..chezea ngozi nyeupe wwkitu cha singida line... kazi ipo ndugu
Mmh sina uhakika kuhusu hiliHuo mkoa ndio no.1 kwa uwizi wa mfukoni cjui kuna chuo cha kuiba.....yani wao kwa ndole ni shida
KweliMaelezo yako Ndugu yanachekesha yanafurahisha kama utayasoma kwakujiachia.
. Lakin kama yéyé anaupndo nawewe' muoe chamuhim co Kabila jiulize tu yéyé anakupenda kwel?
Mmachame au mmbulu hahakama ni MMACHAME usisuthubutu kumuoa
Kilicho baki ni ile asili na mazoea ya watu kuwa kabila flan ndio vichecheKabila gani sio wahuni Tanzania?Wote hawa wapo sawa tu siku hizi