Hili kabila litanikosesha mke

Hili kabila litanikosesha mke

Hahaha dah! Nimecheka kinoma, imebidi walio jirani watake kujua kilichonivunja mbavu. Too bad hawaelewi kilichoandikwa, na nikitafsiri inapoteza ladha kabisa.

Ukicheka Wewe na kuburudika basi Mimi ndiyo furaha yangu Mkuu. Angalau kidogo nimekuongezea siku zako kadhaa za kukuweka mbali na Israeli mtoa roho.
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Hahahahahahhahahahahahahah dah unaua mbavu zangu yani hapo safari moja tu hahahahahahhahahahahahahah
 
Hahaha dah! Nimecheka kinoma, imebidi walio jirani watake kujua kilichonivunja mbavu. Too bad hawaelewi kilichoandikwa, na nikitafsiri inapoteza ladha kabisa.

Ukicheka Wewe na kuburudika basi Mimi ndiyo furaha yangu Mkuu. Angalau kidogo nimekuongezea siku zako kadhaa za kukuweka mbali na Israeli mtoa roho.
Hahahahahahhahahahahahahah dah unaua mbavu zangu yani hapo safari moja tu hahahahahahhahahahahahahah

Wasukuma ukitaka kuwatega tu cheza na chakula utafanikiwa.
 
Ukicheka Wewe na kuburudika basi Mimi ndiyo furaha yangu Mkuu. Angalau kidogo nimekuongezea siku zako kadhaa za kukuweka mbali na Israeli mtoa roho.


Wasukuma ukitaka kuwatega tu cheza na chakula utafanikiwa.
Hahahahahahhahahahahahahah Dah we GENTAMYCINE yani hua napenda kusoma post zako ni burudani sana hujawahi kushindwa yan unanifanya nawakera watu
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
daahhh umeniacha hoooiiii nacheka mwenyewe Kama chizi
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
umetumwa?
 
Gentamycine umeisha sana naomba nijue kabila lako na kama ww sio mtani wangu naomba unilipe..thibitisha muamala faster ohoooo
 
Salaam..

Baada ya maswahibu mengi yaliyo nikuta kwenye mahusiano(wanao fuatilia nyuzi zangu wanafamu); Nimepata mpenzi mpya ambae kusema ukweli yuko tofauti na waliopita, yani anafaa kabisa kuwa wife.

Tatizo linakuja kwenye kabila lake..ni kabila linalo sifika kwa kuchepuka na hata home huwa nasikia ndugu wakipiga story za kabila hilo huku wakiliponda sana.. Sasa leo najiuliza itakuaje nikiwapelekea mchumba kutoka kabila hilo.. Nahisi vizuizi vitaanza au hata wasipo weka vizuizi basi watakua wana ning'ong'a sana..

NB: Sijalitaja kabila kuepusha mpasuko humu.. Mimi ni msukuma OG kabisa.
Hivi unaendaje kuoa kabila jingine na mimi msukuma mwenzio OG nipo? Watendee haki nduguzo bana
 
Unataka kuoa Mhaya? Oa tu usiogope. Nina braza kaoa Mhaya na wana 20+ years bila matatizo yo yote na binti wa watu ana tabia nzuri ajabu na ndiye amegeuka kuwa kipenzi cha mama yetu.

Epuka kufanya generalizations za kitoto eti kabila zima. Mwangalie mtu kama mtu mwenye wasifu na mitazamo yake unique. Mf. Wasukuma tunakuwa generalized kuwa ni washamba. Wewe pia ni mshamba? Kama siyo mshamba why wakati nawe ni Msukuma?
Sawa..nikuelewa sana mkuu
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Hahahahahahahahahahhaha. Aisee.
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Gentamycine acha utani tungekula hivyo situngekuwa tunafika tumenenepa sana, hata hivyo kwetu chakula siyo kitu siyo wachoyo
 
Gentamycine acha utani tungekula hivyo situngekuwa tunafika tumenenepa sana, hata hivyo kwetu chakula siyo kitu siyo wachoyo

Ila Wasukuma jitahidini mpunguze " uroho ". Msinifikirie vibaya na kama nitawakwaza naomba sana radhi ila kwa kukaa kwangu na Wasukuma kama kwa miaka saba ( 7 ) hivi na hata sasa naishi nao bado ila tatizo lenu la uroho wa kupenda kula mnalo. Badilikeni!
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Nimecheka sana ila msukuma ana tumbo zuri kuna wengine nilisafiri kwenda Mpanda walikula kila tunachokutana nacho njiani.
 
Back
Top Bottom