Hili kabila litanikosesha mke

Sijawahi kucheka hivi tangu nijiunge JF, Gentamycine you are crazy. I wish nikuone.

Safi sana na nimefurahi kusikia kuwa tangia ujiunge JF hujawahi kucheka kama bandiko langu dhidi ya Wasukuma. Ni furaha yangu kusikia hivyo kwani napenda mno kuwafurahisha Watu ili kuondoa stress zenu. Kuhusu kuniona sijui kama itawezekana kwani inategemeana Wewe upo wapi kwa sasa. Mimi napatikana hapa kwetu Mkoani Gisenyi nchini Rwanda na Kazi yangu ni ya uvuvi, ukulima na ufugaji na ukifika tu hapa mjini Wewe ulizia Mr. Kalemera Rwigyema Mazimpaka ( ambaye ndiyo Mimi mwenyewe ) na utanipata au utaelekezwa nilipo. Karibu sana Mkuu. Vipi na Wewe mwenzangu kwa sasa upo wapi? Tanzania au Syria?
 
Huyo msichana nshajua kabila lake!
Solution ni kusema ukweli kwamba tabia ni kama ngozi haichomoki,na haibadiliki hata ukijichubua,Nakushauri umwache na uje kwetu Bukoba nikupatie mke mwema
 
Unataka kuoa Mhaya? Oa tu usiogope. Nina braza kaoa Mhaya na wana 20+ years bila matatizo yo yote na binti wa watu ana tabia nzuri ajabu na ndiye amegeuka kuwa kipenzi cha mama yetu.

Epuka kufanya generalizations za kitoto eti kabila zima. Mwangalie mtu kama mtu mwenye wasifu na mitazamo yake unique. Mf. Wasukuma tunakuwa generalized kuwa ni washamba. Wewe pia ni mshamba? Kama siyo mshamba why wakati nawe ni Msukuma?
Mkuu heshima kwanza,naomba sisi binadamu tuache kudhani au kuendekeza midomo ya wapumbavu,toka lini kabila fulani tu tukaliandama eti wao wanagawa hovyo miili yao?,kutaja Wahaya na kuwatwisha kashfa sio jambo jema,sababu hakuna kabila duniani ambalo halina vicheche,makabila yote duniani yana watu wa aina hiyo,ndio maana vitabu vitakatifu vimekemea uzinzi kwa mataifa yote duniani,na havikukemea uzinzi kwa Wahaya tu,tuache tabia hizo.
 
Unataka kuoa Mhaya? Oa tu usiogope. Nina braza kaoa Mhaya na wana 20+ years bila matatizo yo yote na binti wa watu ana tabia nzuri ajabu na ndiye amegeuka kuwa kipenzi cha mama yetu.

Epuka kufanya generalizations za kitoto eti kabila zima. Mwangalie mtu kama mtu mwenye wasifu na mitazamo yake unique. Mf. Wasukuma tunakuwa generalized kuwa ni washamba. Wewe pia ni mshamba? Kama siyo mshamba why wakati nawe ni Msukuma?
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Hahahahaaa wachambe kabisa aisee wamezidi mno kwenye kula. Ila ni kabila nnalolipenda sana. Hawana majungu. watu poa sana wasukuma
 
Salaam..

Baada ya maswahibu mengi yaliyo nikuta kwenye mahusiano(wanao fuatilia nyuzi zangu wanafamu); Nimepata mpenzi mpya ambae kusema ukweli yuko tofauti na waliopita, yani anafaa kabisa kuwa wife.

Tatizo linakuja kwenye kabila lake..ni kabila linalo sifika kwa kuchepuka na hata home huwa nasikia ndugu wakipiga story za kabila hilo huku wakiliponda sana.. Sasa leo najiuliza itakuaje nikiwapelekea mchumba kutoka kabila hilo.. Nahisi vizuizi vitaanza au hata wasipo weka vizuizi basi watakua wana ning'ong'a sana..

NB: Sijalitaja kabila kuepusha mpasuko humu.. Mimi ni msukuma OG kabisa.

Ukisikia maajabu ndio haya...wewe mwenyewe kabila lako la kisukuma ni mpasuko tosha!!!..halafu unakosoa makabila mengine!!..
 
Salaam..

Baada ya maswahibu mengi yaliyo nikuta kwenye mahusiano(wanao fuatilia nyuzi zangu wanafamu); Nimepata mpenzi mpya ambae kusema ukweli yuko tofauti na waliopita, yani anafaa kabisa kuwa wife.

Tatizo linakuja kwenye kabila lake..ni kabila linalo sifika kwa kuchepuka na hata home huwa nasikia ndugu wakipiga story za kabila hilo huku wakiliponda sana.. Sasa leo najiuliza itakuaje nikiwapelekea mchumba kutoka kabila hilo.. Nahisi vizuizi vitaanza au hata wasipo weka vizuizi basi watakua wana ning'ong'a sana..

NB: Sijalitaja kabila kuepusha mpasuko humu.. Mimi ni msukuma OG kabisa.

Muhaya huyo
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Umetudhalilisha sana sisi wasukuma. Nachelea kusema kuwa unatakuwa umetufananisha na WAHA.

Ila naamini unaweza kututaka radhi, na usipotutaka radhi nakuhakikishia hatukupi mke, baki na michepuko yako.
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Ha haaa unauchokozi na wasukuma ee....

Cc Ntuzu
 
Mbona hata Kabila lako mwenyewe la Kisukuma ni full " matatizo? " Mmeacha ile tabia yenu ya kula kula hovyo pindi muwapo safarini? Ubungo asubuhi mnanunua miwa mnaanza kututafunia ndani ya basi, tukifika mizani mnatafuta mayai ya kuchemsha ili mtujambie vizuri mbele ya safari na hakika huwa tunawakoma, tukifika chalinze lazima mnunue mahindi ya kuchemsha, Msamvu Morogoro mnatafuta mihogo ya kuchemsha, Gairo lazima mnunue viazi vya kuchemsha pale, Dodoma huwa mnatugandisha mno kwani wengi wenu hukimbilia vyooni " kufyatua " mlivyovifakamia katika vituo tulivyovipita, maeneo ya Shelui mtanunua Chips yai na kuku za kuletewa dirishani ambazo hata hivyo nyingi huwapeni sana usumbufu wa matumbo na tukiwa tunataka kuliacha pori la maeneo hayo huwa mnamsimamisha dereva huku mnakimbilia maporini kujisaidia, Singida lazima tu mtaulizia Ugali na wengi wenu ili msichelewe katika basi huwa mnabeba kabisa huo Ugali na mkipanda nao ndani ya basi huwa mnatupa " show " ya bure hasa kwa jinsi mnavyochota na kuutafuna huo Ugali kwani huwa mnatumia sana nguvu utadhani mnaua nyoka, Shinyanga na penyewe mtatafuta vitumbua na hadi tunafika Mwanza pale Kituoni hakika matumbo yenu Wasukuma huwa yanakuwa yamechafuka mno.
Hahaaaaaaaa uwiiii kupanda bas na watu wa aina hyo kero tupu wanatafuna njia nzima ka mbuzi tabu tupu hafu ukute wanavyotafuna sasa
 
Back
Top Bottom