Hewalaa.......umegonga mulemuleLabda itakua ya mwisho lakini sio ya kwanza![]()
Kwani unataka kuolewa?Sijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()
Sijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()
Uyo sio mwanaumeJumapili na pasaka iwe njema kwenu,
Kwa tabia hizi za baadhi ya wanaume ndio maana kuna upungufu wa wanaume duniani.....
View attachment 1077273
Mungu anusuru viumbe wake inauma na kusikitisha,
ni bora aibu ya mtoto wa kike kuliko aibu ya mtoto wa kiume.
ndio....Wanapungua kila siku.
Hahah wanajuana kwa vilemba,huu usemi haumaanishi lazima wote wavae vilemba ila ni kule kufahamiana kwa urahisi matakwa yao.Ila ostaz nae kama kamwelewa fulani![]()
Msisingizie, hao watatu wanne wamekutongoza si wewe umewafuata kuwatongoza...tamaa tu hamna loloteWanawake, tukidate na wenzenu watatu au wanne mtuelewe. Wanaume tumebaki wachache mno!
Muwahurumie wanawake wenzenu na muelewe namna tunavyokuwa waungwana kuwasitiri wenzenu, fulu stopu.Msisingizie, hao watatu wanne wamekutongoza si wewe umewafuata kuwatongoza...tamaa tu hamna lolote
NonsenseMuwahurumie wanawake wenzenu na muelewe namna tunavyokuwa waungwana kuwasitiri wenzenu, fulu stopu.
hahaha asante kunkumbusha nisije nkaona mteremkoKatika kundi hilo kuna wenye HIV kama 8 hivi