ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Na wanaume bado hatujaisha mashababiSijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()
Na wanaume bado hatujaisha mashababiSijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()
Yani ratio ya wanawake kwa wanaume wenye uwezo wa kuoa na kuolewa ni 3:1 respectivelyWanawake, tukidate na wenzenu watatu au wanne mtuelewe. Wanaume tumebaki wachache mno!

Jumapili na pasaka iwe njema kwenu,
Kwa tabia hizi za baadhi ya wanaume ndio maana kuna upungufu wa wanaume duniani.....
View attachment 1077273
Jumapili na pasaka iwe njema kwenu,
Kwa tabia hizi za baadhi ya wanaume ndio maana kuna upungufu wa wanaume duniani.....
View attachment 1077273
Haina budi kuwakumbusha mara kwa mara hawa watu, ni wasaulifu mnoYani ratio ya wanawake kwa wanaume wenye uwezo wa kuoa na kuolewa ni 3:1 respectively
Wadada acheni roho mbaya wenzenu watagegedwa na nani...![]()
Sisi tupo utaolewa tuSijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()