Hili jibaba halina aibu!!!

Hili jibaba halina aibu!!!

Yaani wanaume sikuhizi Sijui wamepatwa na nini.....wengine mashoga wengine mboo hazisimami vizuri wengine hazisimami kabisaaaa yaani vurugu mweeeeeeh
 
Wew uko tayari kukata kiuno kama sio nyonga ili upate pesa?
Nakwambia, kukata kiuno in the wider interpretation, essence yake ni kufanya yasiyostahili ili upate mradi wako/mkono uende kinywani. My point is, kama watu hasa wateule wa Jiwe and CCM wanafanya yasiyostahili ili wapate kuteuliwa, wapate vyeo, wapate mkate wao , wana tofauti gani na anayekata kiuno? Mimi siko kwa Jiwe, siwezi kufanya yasiyostahili ili nipate kuteuliwa, siwezi kukata kiuno ili nipate pesa. Napinga yote
 
Dah yani nimejisikia vbaya sana kuona mzee mzima kama yule anamkatikia mwanaume mwenzake hii tena wale weupe unafikir inaleta picha gani kwa sisi weusi
Ni aibu kubwa tumuombe tu mungu anusuru vijana wa taifa letu.
 
Huyo jamaa kesha niharibia pasaka yangu..!! Hizi post nyingine jamani muwe mnatoa siku zisizo kuwa za baraka, mnaona sasa nimeshindwa kumtukana..
Pole utamtukana pasaka ikiisha, ila na wewe usiwe unawasha data siku kama hizi
 
Iwe kwangu tu maana ukiendelea kuirusha kwingine utanasa samaki wa sumu buree.
Na n kwako tu yan ndo ya kwanza na ndo ya mwisho Na naamin itanasa hapo hapo nnapotaka
Kupavisha pete
 
Yaani wanaume sikuhizi Sijui wamepatwa na nini.....wengine mashoga wengine mboo hazisimami vizuri wengine hazisimami kabisaaaa yaani vurugu mweeeeeeh
Ndio maana wanawake hatuolewi kwa sababu waoaji wenyewe ndo kama hao wanapungua siku hadi siku, eee mungu wangu okoa hawa wanaume.
 
Back
Top Bottom