Manun'guniko
Senior Member
- Jul 23, 2014
- 155
- 59
- Thread starter
- #181
Inaumiza sanaPole sana kwa hayo yaliyokukuta.
Uliaji wa hivi upo.
Na nijuavyo mimi mara nyingi Mtoto akitangulia kabla ya Mzazi (Mama), waMama wengi wakilia utawasikia "kwanini nisingekufa Mimi abaki Mtoto wangu".
"Kwanini umeniacha".
Ila kwa hii yako, kwa kweli ni ngeni na inasikitisha sana