kethika
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 630
- 472
Huwa naumia sana ninapoona jinsi wavulana wanavyowatendea wasichana kwenye swala la mapenzi.
Huwa sipendi sipendi kabisa kuona msichana anaumizwa kwenye swala la mapenzi.
Huwa kuna wasichana nikiwaangalia najiuluza hivi ataolewa na nani. Jambo linalonishangaza ni pale unapomsogelea may be kumpa strategies za namna ya kukaa mkao unaoweza kumfanya avutie hadi aolewe utakuta ana standards kibao. Ooh mimi sitaki kuolewa na mwanaume wa hivi oo wa hivi simtaki.
Sawa ila mimi nilifikiri muujiza wa kwa ilikuwa kumpata wa kukuoa haya mambo mengine ya std ungeyapunguza.
Sijui wadau nawaza sawa au hebu tusaidiane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa sipendi sipendi kabisa kuona msichana anaumizwa kwenye swala la mapenzi.
Huwa kuna wasichana nikiwaangalia najiuluza hivi ataolewa na nani. Jambo linalonishangaza ni pale unapomsogelea may be kumpa strategies za namna ya kukaa mkao unaoweza kumfanya avutie hadi aolewe utakuta ana standards kibao. Ooh mimi sitaki kuolewa na mwanaume wa hivi oo wa hivi simtaki.
Sawa ila mimi nilifikiri muujiza wa kwa ilikuwa kumpata wa kukuoa haya mambo mengine ya std ungeyapunguza.
Sijui wadau nawaza sawa au hebu tusaidiane.
Sent using Jamii Forums mobile app