Hili hapana, Hayati Magufuli anasingiziwa

Samia, kiutendaji amemwacha mbali sana Magufuli. Magufuli alikuwa na speed kubwa katika propaganda, na siyo katila utendaji. Mimi siyo shabiki wa Samia, lakini ukimlinganisha Samia na Magufuli, Samia pamoja na mapungufu yake, atakuwa malaika

Kitu gani Magufuli ilisema kitakamilika wakati fulani halafu kikamilika wakati uliotajwa?

Speed kubwa ya Magufuli ilikuwa katika kudidimiza uhuru wa watu, demokrasia, haki za watu, kukanyaga sheria na katiba, na kudidimiza uchumi.

Wakati wa Kikwete uchumi ulikuwa unakua kwa 7%, Magufuli aliuporomosha mpaka 1.9% (taarifa ya WB), uwekezaji mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 28%, Magufuli aliuangusha mpaka 4%. Utalii mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 15%, mpaka 2019, Magufuli alikuwa ameuangusha mpaka 3.6%. Kwa takwimu hizi, Magufuli alikuwa anaenda spidi kali katika kuangamiza Taifa.

Kitu pekee alichofanikiwa Magufuli kuliko watangulizi waje ni siasa za ulaghai. Na wajinga aliwapata sana, hata wengine kufikiria kuwa alikuwa anafanya mambo makubwa sana kuliko watangulizi wake. Kwa kweli wajinga aliwaokota hasa, lakini wenye akili wanajua kuwa Magufuli alikuwa janga kwa Taifa. Hakuistahili ile nafasi.

Jbo jingine, ni kwamba marehemu Magufuli anasemwa sana sasa kwa sababu moja kubwa, alikuwa dikteta aliyewanyima watu haki ya kusema. Nani angemkosoa Magufuli wakati akiwa hai, halafu angebaki salama? Tazama alichofanyiwa Lisu. Yuko wapi Ben Saalnane aliekosoa PhD ya Magufuli?

Usizungumze kama vile umeshuka leo toka ahera. Ka ulikuwepo nchini wajati wa Magufuli, huwezi kushangaa kwa nini watu wanasema leo, na siyo wajati wa uhai wake.
Trivial. Cacophonous

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Samia, kiutendaji amemwacha mbali sana Magufuli. Magufuli alikuwa na speed kubwa katika propaganda, na siyo katila utendaji. Mimi siyo shabiki wa Samia, lakini ukimlinganisha Samia na Magufuli, Samia pamoja na mapungufu yake, atakuwa malaika

Kitu gani Magufuli ilisema kitakamilika wakati fulani halafu kikamilika wakati uliotajwa?

Speed kubwa ya Magufuli ilikuwa katika kudidimiza uhuru wa watu, demokrasia, haki za watu, kukanyaga sheria na katiba, na kudidimiza uchumi.

Wakati wa Kikwete uchumi ulikuwa unakua kwa 7%, Magufuli aliuporomosha mpaka 1.9% (taarifa ya WB), uwekezaji mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 28%, Magufuli aliuangusha mpaka 4%. Utalii mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 15%, mpaka 2019, Magufuli alikuwa ameuangusha mpaka 3.6%. Kwa takwimu hizi, Magufuli alikuwa anaenda spidi kali katika kuangamiza Taifa.

Kitu pekee alichofanikiwa Magufuli kuliko watangulizi waje ni siasa za ulaghai. Na wajinga aliwapata sana, hata wengine kufikiria kuwa alikuwa anafanya mambo makubwa sana kuliko watangulizi wake. Kwa kweli wajinga aliwaokota hasa, lakini wenye akili wanajua kuwa Magufuli alikuwa janga kwa Taifa. Hakuistahili ile nafasi.

Jbo jingine, ni kwamba marehemu Magufuli anasemwa sana sasa kwa sababu moja kubwa, alikuwa dikteta aliyewanyima watu haki ya kusema. Nani angemkosoa Magufuli wakati akiwa hai, halafu angebaki salama? Tazama alichofanyiwa Lisu. Yuko wapi Ben Saalnane aliekosoa PhD ya Magufuli?

Usizungumze kama vile umeshuka leo toka ahera. Ka ulikuwepo nchini wajati wa Magufuli, huwezi kushangaa kwa nini watu wanasema leo, na siyo wajati wa uhai wake.
Propaganda za mhanga wa vyeti feki tunaielewa
 
hata kichaa hawezi kukubaliana na huu uzi uliojaa uzushi na unafiki+uwongo hamuwezi kamwe kuchafua legancy ya magufuli
 
Samia, kiutendaji amemwacha mbali sana Magufuli. Magufuli alikuwa na speed kubwa katika propaganda, na siyo katila utendaji. Mimi siyo shabiki wa Samia, lakini ukimlinganisha Samia na Magufuli, Samia pamoja na mapungufu yake, atakuwa malaika

Kitu gani Magufuli ilisema kitakamilika wakati fulani halafu kikamilika wakati uliotajwa?

Speed kubwa ya Magufuli ilikuwa katika kudidimiza uhuru wa watu, demokrasia, haki za watu, kukanyaga sheria na katiba, na kudidimiza uchumi.

Wakati wa Kikwete uchumi ulikuwa unakua kwa 7%, Magufuli aliuporomosha mpaka 1.9% (taarifa ya WB), uwekezaji mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 28%, Magufuli aliuangusha mpaka 4%. Utalii mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 15%, mpaka 2019, Magufuli alikuwa ameuangusha mpaka 3.6%. Kwa takwimu hizi, Magufuli alikuwa anaenda spidi kali katika kuangamiza Taifa.

Kitu pekee alichofanikiwa Magufuli kuliko watangulizi waje ni siasa za ulaghai. Na wajinga aliwapata sana, hata wengine kufikiria kuwa alikuwa anafanya mambo makubwa sana kuliko watangulizi wake. Kwa kweli wajinga aliwaokota hasa, lakini wenye akili wanajua kuwa Magufuli alikuwa janga kwa Taifa. Hakuistahili ile nafasi.

Jbo jingine, ni kwamba marehemu Magufuli anasemwa sana sasa kwa sababu moja kubwa, alikuwa dikteta aliyewanyima watu haki ya kusema. Nani angemkosoa Magufuli wakati akiwa hai, halafu angebaki salama? Tazama alichofanyiwa Lisu. Yuko wapi Ben Saalnane aliekosoa PhD ya Magufuli?

Usizungumze kama vile umeshuka leo toka ahera. Ka ulikuwepo nchini wajati wa Magufuli, huwezi kushangaa kwa nini watu wanasema leo, na siyo wajati wa uhai wake.
Ni mradi gani mkubwa ambao Samia aliuanzusha, nijajie mmoja tu
 
Wewe wasema lakini alvyotufanyia katika uchaguzi yatosha kutokumpa. Kukupa ukweli ndiyo maana Mungu alisema basi yatosha. Mbona Mwinyi yupo, Kikwete yupo. Kila mtu ana siku yake lakini ukitenda maovu yanakuletea umauti mapema. Wakati wa Mwinyi pamoja na kutuknwa lakini hatukusikia watu kupotea, Kikwete hatukusikia mtu kupotea. Hawa Mungu ataenelea kuwapa maisha marefu maana hakuna damu zinawashitaki mbele za Mungu.
Kichwani umejaza mavi badala ya ubongo ,vifo vya watoto wachanga wa mwezi mmoja nao wametenda dhambi gani?
 
Samia, kiutendaji amemwacha mbali sana Magufuli. Magufuli alikuwa na speed kubwa katika propaganda, na siyo katila utendaji. Mimi siyo shabiki wa Samia, lakini ukimlinganisha Samia na Magufuli, Samia pamoja na mapungufu yake, atakuwa malaika

Kitu gani Magufuli ilisema kitakamilika wakati fulani halafu kikamilika wakati uliotajwa?

Speed kubwa ya Magufuli ilikuwa katika kudidimiza uhuru wa watu, demokrasia, haki za watu, kukanyaga sheria na katiba, na kudidimiza uchumi.

Wakati wa Kikwete uchumi ulikuwa unakua kwa 7%, Magufuli aliuporomosha mpaka 1.9% (taarifa ya WB), uwekezaji mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 28%, Magufuli aliuangusha mpaka 4%. Utalii mwaka 2015 ulikuwa unakua kwa 15%, mpaka 2019, Magufuli alikuwa ameuangusha mpaka 3.6%. Kwa takwimu hizi, Magufuli alikuwa anaenda spidi kali katika kuangamiza Taifa.

Kitu pekee alichofanikiwa Magufuli kuliko watangulizi waje ni siasa za ulaghai. Na wajinga aliwapata sana, hata wengine kufikiria kuwa alikuwa anafanya mambo makubwa sana kuliko watangulizi wake. Kwa kweli wajinga aliwaokota hasa, lakini wenye akili wanajua kuwa Magufuli alikuwa janga kwa Taifa. Hakuistahili ile nafasi.

Jbo jingine, ni kwamba marehemu Magufuli anasemwa sana sasa kwa sababu moja kubwa, alikuwa dikteta aliyewanyima watu haki ya kusema. Nani angemkosoa Magufuli wakati akiwa hai, halafu angebaki salama? Tazama alichofanyiwa Lisu. Yuko wapi Ben Saalnane aliekosoa PhD ya Magufuli?

Usizungumze kama vile umeshuka leo toka ahera. Ka ulikuwepo nchini wajati wa Magufuli, huwezi kushangaa kwa nini watu wanasema leo, na siyo wajati wa uhai wake.
I have never read such madness in this JAMII FORUM before this one you posted

I am going to tell you only one legacy of JPM. Magufuli managed to establish government getway revenue collection system. Now this government collection is highly improved. Ndiyo maana leo SSH anaongea kwa kujiamini kwa kuwa anao uhakika wa kukusanya mapato.
Wengi wa wanaopambana na maiti ya Magufuli leo ni wale waliofaidika na mfumo wa ovyo wa ukusanyaji mapato.

Mwenyezi Mungu ampumizshe kwa amani kwani kazi aliifanya.
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
20211206.jpg

1638703545.jpg
163870347.jpg
2029p.jpg
1782762_tapatalk_1528448721303.jpeg
 
Wewe wasema lakini alvyotufanyia katika uchaguzi yatosha kutokumpa. Kukupa ukweli ndiyo maana Mungu alisema basi yatosha. Mbona Mwinyi yupo, Kikwete yupo. Kila mtu ana siku yake lakini ukitenda maovu yanakuletea umauti mapema. Wakati wa Mwinyi pamoja na kutuknwa lakini hatukusikia watu kupotea, Kikwete hatukusikia mtu kupotea. Hawa Mungu ataenelea kuwapa maisha marefu maana hakuna damu zinawashitaki mbele za Mungu.
Hongera kwakua unaishi kutokana na ukamilifu ulionao mbele za Mungu. Wengine tunaishi kwasababu ya Neema zake tu na si kinginr
 
Back
Top Bottom