Hili dude ni hatari

Hili dude ni hatari

Jannatul Firdaus

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2026
Posts
371
Reaction score
832
Hii movie nimeangalia ni moto wa kuotea mbali. Mama mmoja. Kazi moja. Hakuna muda wa kusimama.

Mwanawe anapotekwa, Maia analazimika kukimbia katika mitaa ya London huku akifuata maagizo ya mtu asiyejulikana. Kila sekunde ni muhimu… na kusimama si chaguo.

Filamu yenye kasi, suspense na matukio ya kusisimua kutoka mwanzo hadi mwisho.

Aisee wadau ichi ni chuma.kingine kama ujaiangalia fanya kuicheki mapema
1789457239395.png

1789457258251.png
 
Aisee wadau ichi ni chuma.kingine kama ujaiangalia fanya kuicheki mapema
Movie zangu hua naangalia story kwanza ipoje na kibaya kuna movie wanaweka story nzuri ila ndani wameact ujinga km wapo jukwaani, kuna movie moja ya Jason inaitwa Mutiny mimi Jason nazikubari sana movie zake ila hio movie naipa 0/10 director na actors hawa chipukizi wameiharibu imeonekana ya kawaida wakati story ni nzuri
 
Back
Top Bottom