Hili dude hili!

Hiki ndio kimenifanya nishindwe kufuga
 
Hiki ndio kimenifanya nishindwe kufuga
Sure na hapo ndipo nimeelewa wafugaji wengi hawapendi kuchinja mifugo yao, kuna hisia flani huingilia kati tokana na kuzoeana na wanyama katika maisha ya kila siku.

Unakuta baadhi ya wafugaji kuchinja mfugo wake, ukute mnyama kaugua sana ana karibia kufa.
 
Nilikuwa nawafinya masikio nikiwaogesha😆

Sema wana akili kama mbwa wanazoea watu.
Nilikuwa nawachanganyia kwa siri kwenye chukula mbwa wetu ugoro au bangi ili wawe wakali.. Siku moja mmoja ngoma ikakubali akatukazia jioni hakuna mtu kutoka nje ya geti ama kuingia kwa waliokuwa nje
Uwanja mzima alikuwa anatamba yeye tu mpaka wenzake walikuwa wanamuogopa😂🤣
 
Labda hiyo nyama yake niigawe sitaweza kula🥲 Nitaumia sana
 
Unachosema ndicho kile kile yule mfugaji aliambia, akanambia hata sasa amekuwa si mpenzi tena wa kitimoto...
Ni jambo la ajabu sana..
Kuna hisia za ukaribu halafu macho yanaongea ndio maana Wazaramo wana usemi wao usemao KUMKOMA NYANI GILADI Yaani ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni maana utapata huruma
 
Hatari na nusuuuu
 

Attachments

  • 20260209_142529.jpg
    601.2 KB · Views: 11
  • 20260209_142442.jpg
    557.4 KB · Views: 8
  • 20260209_142434.jpg
    533.6 KB · Views: 9

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…