OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,760
Namnukuu:
"Sifahamu chochote kuhusu orodha ya majina ya Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA inayosemakana kuwa imepelekwa Tume hata hivyo hata kama kweli jina langu lipo siwezi kwenda kuapishwa kuwa Mbunge maana binafsi siwezi kushiriki mchakato wa kuhalalisha haramu kuwa halali"
My Take 1
Tunataka tusikie kauli ya Halima Mdee na Esta Bulaya.
"Sifahamu chochote kuhusu orodha ya majina ya Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA inayosemakana kuwa imepelekwa Tume hata hivyo hata kama kweli jina langu lipo siwezi kwenda kuapishwa kuwa Mbunge maana binafsi siwezi kushiriki mchakato wa kuhalalisha haramu kuwa halali"
My Take 1
Tunataka tusikie kauli ya Halima Mdee na Esta Bulaya.