Hilary Aeshi apokelewa Bungeni kama shujaa

kazi hipo kweli kweli, wanasumbawanga ndo wanajua kilichofanyika, na ebu fanyeni utafiti mutaona mugawanyiko uliopo sumbawanga baada ya matokea kutangazwa kushinda huyu bwana, pia baada ya kumpatia ushindi baada ya kurudishiwa na mahakama ushindi. jamani wananchi siku hizi wanaelewa kinachooendelea, je mulisoma rulling ya mahakama kutengua ushindi wake?
 
Mbunge wa sumbawanga mjini Hilary Aeshy aliyeshinda rufaa ya kuvuliwa ubunge na hivyo kurudishiwa ubunge wake ameingia bungeni na kupokelewa kama shujaa ambapo wabunge wamempigia makofi na kupiga vigelegele kuonyesha furaha yao, kitendo kilichofanya shughuli za bunge kusimama kwa muda na kulazimika mwenyekiti wa bunge kuomba order kwa wabunge.
MY TAKE; hongera aeshi
wewe pongeza pongeza, na uendelee kupongeza utaja pongeza hadi anayekulambia mkeo, unampongeza mwizi wa demokrasia?
 
Mambo ya kike yakoje' ? Sasa tusiandike ukwel wa jambo lenyewe'? Wakati ndivyo ulivyo ukwel? Kwaani yule jaji aliyetengua ushindi wa huyu mbunge alikuwa mjinga? Na maagizo yakatolewa na ccm kuwa arudishiwe ubunge wake mbona ni vitu ambavyo viko wazi ndugu...kama ww ni mwana siasa fuatilia mambo na uwe mtafiti utafanikiwa zaidi

Ninaposema shela nina maana iposiku mtaolewa maana mna mambo ya kike kila sku ni kulalamika tuu hata kwa mambo ambayo yameamliwa kisheria, au sheria iko upande wa cdm peke yake? Ni jinsi gani mnaonyesha kutokukomaa kwenye siasa maana mnaingilia hata mamlaka ya vyombo vingine
 
Madiwani watatu na aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) manispaa ya Sumbawanga leo wamemsindikiza bungeni mbunge wa Sumbawanga mjini aliyeshinda rufaa yake katika kesi iliyofunguliwa dhidi yake na mgombea wa Chadema.
 
Kumbuka huyo ni mbunge wao wote na ndiye anayewawakilisha bungeni so hakuna noma, siasa sio vita.
 
Ninaposema shela nina maana iposiku mtaolewa maana mna mambo ya kike kila sku ni kulalamika tuu hata kwa mambo ambayo yameamliwa kisheria, au sheria iko upande wa cdm peke yake? Ni jinsi gani mnaonyesha kutokukomaa kwenye siasa maana mnaingilia hata mamlaka ya vyombo vingine

Ndugu yangu hv unajua mahakama zote zilizoko chini ya ccm azitoi haki? Hivi unajua ni kwa nn tunataka muhimili wa mahakama ujitegeme wenyewe na wawe na maamzi yao wenyewe pasipo kuingiliwa na chombo kingine? Kwa nini tuandika katiba mpya?
ukweli ni kwamba hilary akushinda kwa haki sumbawanga na hilo liko wazi na maazi ya kurudishiwa ubunge wake ni agizo na ukizingatia mahakama ziko chini ya ccm na zinaendeshwa na serikali na ccm unategemea nini? Pole ndugu yangu kwa kutokuwa na upepo wa kuelewa mambo na pia uwenda uwezo wako umeishia hapo hapo ndo maana unatoa kauli za matusi..
 
kama umepata per diem kwa nini usiende? hata Dr Slaa kama JK akimualika katika safari zake atakataaa kwani?

Madiwani watatu na aliyekuwa Mwenyekiti wa vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) manispaa ya Sumbawanga leo wamemsindikiza bungeni mbunge wa Sumbawanga mjini aliyeshinda rufaa yake katika kesi iliyofunguliwa dhidi yake na mgombea wa Chadema.
 
NChi ya kinafki na njaa kali ndiyo inayo isumbua Tanzania hakuna kingine, hivyo ina maana kama angeshindwa kesi wangesikitika au wangefurahi.
 
Hao madiwani kuna swala walioenda huko kujadili na sio kama mwenyekiti alivyotamka kwamba wamemsindikiza hyo mbunge,kwani alivyoenda kwa mara ya kwanza kabla hajavuliwa alisindikizwa?
 
Madiwani wako kizalendo zaidi...

Kama walivyo madiwani wote wa CHADEMA!!tunapingana kwa hoja na kukubaliana kwa hoja,mbunge ni wa wote bora amechaguliwa na wananchi walio wengi,kuna kichwa maji anaanza kupandikiza uchonganishi hapo juu.
 
Huwezi kuwa muzalendo ktk hili ...kuna kitu kimejificha...uongozi na mugombe wa cdm ndo walifungua kesidhidi ya ccm ina maana hawakukubaliana na ushindi wa ccm, chama kikiamua kitu ni maamzi ya wanachama wote hata kama hupendi tafuta namna halali ya kuonyesha hisia zako. Tushirikiane kwa kila kitu lakini siyo kusindikizana bungeni... na hapo ndipo vyama vinapoharibikiwa.. hao madiwani wakubaliane na mbunge ktk maendeleo na sio kusindikizana bungeni..kusindikizana bungeni ni dalili ya kuonyesha hawakuunga mkono cdm kupinga matokeo ya ushindi wa ccm..NA DHAHILI CDM WANGESHINDA KESI wasingesapoti ktk chaguzi ambayo ingefanyika. Hawa madiwani watizamwe uadilifu wao, vinginevyo hiki ni kirusi tena AIDS. huu nao ni ufisadi ndani ya chama.
 
Back
Top Bottom