Mkuu unalosema ni kweli hata mimi nina ushahidi lakini sio wote kabisa,wapo ambao kiukweli ni waungwana wanafanya kazi zao kwa utiifu na ni nina majina yao sema tu wamezoea kutafuta umaarufu akisikia kwamba amechangia labda mkutno mkuu wa CCM Dodoma kwa shilingi milioni 400 ndio furaha yake hiyo lakini sio kwamba wote ni wachafu kiihivyo ila asilimia 85 ni wachafu.
Na miongoni mwao ni huyu Hilal Phantom,ana matatizo mengi sana,na matatizo yake naweza hata kuyataja humu kama kuna mtu anabisha,ni problem sana huyu jamaa na hasa maeneo ya Maganzo.tuliwahi kwenda huko na timu kutoka ofisi fulani kubwa kuliko zote hapa nchini,tukafanya uakaguzi wa baadhi ya mambo tulibaini uchafu mkubwa lakini pia yuko karibu sana na mkubwa mmoja hapa nchini,kwa hiyo wakati mwingine JF inasaidia sana tunapata mahali pa kusemea.