mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
BARAZA la Chama cha Walimu Nchini (CWT), limetoa siku 30 kabla ya kutangaza mgogoro na serikali kwa madai kuwa imeshindwa kuteua baraza la majadiliano la sekta ya elimu ambalo lingeweza kujadili mishahara mipya ya walimu kwa mwaka 2012/2013 na kufika asilimia 100