Mwadui
Senior Member
- Dec 17, 2010
- 102
- 2
mbunge wa lushoto Henry Shekifu wakati anachangia mada leo bungeni emesema Uchumi wa Nchi umekuwa kwani ndege(eroplane) zinapishana uwanja wa ndege, anammanisha kuwa uwingi wa safari za ndege ndani na nje ya nchi ni mOja wapo ya vigezo vya kukua kwa uchumi, wa Tanzania, nawauliza wana JF je hiki ni kigezo cha uchumi kukua????