Hapa watu walipasha chakula cha usikuuu, tayar kwa matumizi.
unapashag chakula ?
Ha ha why ?
Ha ha ha nice food
Supendi viporo
Mtani lipi ni jibu sahihi hapa?
Mtani yangu ya moto sana
Ya moto! !??? Ya moto bendi
Umeon vyakula gani,mkuu……?
Mkuu nimevaa miwani nina matatizo ya macho ila kwa mbali naona kuna mboga mbili za kulia wali..mboga ya majani ya kisamvu na harage au nimekosea mkuu?...
Unalugha zenye tafsida safi, kabsa.
sasa maharage na kisamvu kipi ni kizuri kulia muhogo……?
Mkuu mimi nachagua ndondo,kisamvu sikiwezi mkuu kwani kina chumvi nyingi mno kwani nina tatizo la pressure hivyo hakinifai..