Hiki ndo chakula cha jana

Hiki ndo chakula cha jana

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Hapa watu walipasha chakula cha usikuuu, tayar kwa matumizi.
 

Attachments

  • 1424024991254.jpg
    1424024991254.jpg
    26.6 KB · Views: 1,434
Mhhh,hapo lazima kiwe na joto la uhakika,lakini naona kama anapasha moto vyakula vyote viwili hapo...je ulikula kipi?,teh teh teh...
 
Mkuu nimevaa miwani nina matatizo ya macho ila kwa mbali naona kuna mboga mbili za kulia wali..mboga ya majani ya kisamvu na harage au nimekosea mkuu?...

Unalugha zenye tafsida safi, kabsa.
sasa maharage na kisamvu kipi ni kizuri kulia muhogo……?
 
Unalugha zenye tafsida safi, kabsa.
sasa maharage na kisamvu kipi ni kizuri kulia muhogo……?

Mkuu mimi nachagua ndondo,kisamvu sikiwezi mkuu kwani kina chumvi nyingi mno kwani nina tatizo la pressure hivyo hakinifai..
 
Back
Top Bottom