20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
- Thread starter
- #61
Mtu anajifungua inabidi wamsokomeze kipande cha kaka, wewe kunyanyua tu gunia la mkaa au kilo hamsini za cement ukijikamua sana nyuma kunafunguka na hapo ni mzima, je yeye ambae muscles zimelegea si ni balaa akianza kukamua
Dats God forbid hiii kitu